Kwanini wanawake wengi wanawaona waume zao ni wavivu na wasio timiza wajibu?

Kwanini wanawake wengi wanawaona waume zao ni wavivu na wasio timiza wajibu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
ndugu yangu kaniletea malalamiko, eti mkewe anamtuhumu kuwa kipato dunkinatokana na uzembe wa huyo mwanamume, maana hataki kuhama kwa mwajiri wake wa sasa na kutafuta kazi sehemu nyingine.
Jamaa alipo peleka malalamiko hayo kwa mfanyakazi mwenzake, akamwambia, mbona na mimi mke wangu ananiambia hivyohivyo tu.
Jamaa akaamua aje kuniuliza mimi, nami nimeamua nije kuuliza hapa jamvini.i
 
Kwasababu hao waume zao ni wavivu na wasiotimiza wajibu. Hao wamama nao si wajifunge vibwebwe kusaidia?
 
kama mke anajua mumewe mvivu, yeye amefanya nini kukwamua familia?
 
Wanaume wengi siku hizi wanajifanya malava boyz... Unajinyenyekeza kwa mkeo hadi mnaanza kudiscuss kipato chako?!! Nyambaf... Kama unalipwa laki, mwambie mkeo unalipwa milioni, na hakuna maswali kuwa zinaenda wapi. Unaweka akiba ya uzeeni, fulu stop.
 
Mh. BB umeibuka lini ? Uliyeyuka bila kuaga mazee ! Hadi nikakutafuta kwa torch ya thread ! Bila mafanikio!
 
Wewe uliwashauri nini?? Tatizo siyo kuhama mwajiri tu, je ana sifa za kuhama??kama alishikwa mkono ataweza kuhama kweli??
 
Labda hao wake zao wanawafananisha na wanaume wengine...........!!!!
 
ndugu yangu kaniletea malalamiko, eti mkewe anamtuhumu kuwa kipato dunkinatokana na uzembe wa huyo mwanamume, maana hataki kuhama kwa mwajiri wake wa sasa na kutafuta kazi sehemu nyingine.
Jamaa alipo peleka malalamiko hayo kwa mfanyakazi mwenzake, akamwambia, mbona na mimi mke wangu ananiambia hivyohivyo tu.
Jamaa akaamua aje kuniuliza mimi, nami nimeamua nije kuuliza hapa jamvini.i

ulitakiwa na wewe umpe jibu then ulete haka ka uzi hapo ili ulinganishe majibu
 
Labda hao wake zao wanawafananisha na wanaume wengine...........!!!!

na hilo ndo tatizo kubwa la wanawake...........kupenda kulinganisha na kuona maisha ya nje ndo mazuri kuliko yake.
 
Wakati mwingine huwa hatuko tayari kuukubali ukweli,jukumu la familia ni la MWANAUME,mambo yakienda hovyo muhusika lazima awajibke!
 
Back
Top Bottom