Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
ndugu yangu kaniletea malalamiko, eti mkewe anamtuhumu kuwa kipato dunkinatokana na uzembe wa huyo mwanamume, maana hataki kuhama kwa mwajiri wake wa sasa na kutafuta kazi sehemu nyingine.
Jamaa alipo peleka malalamiko hayo kwa mfanyakazi mwenzake, akamwambia, mbona na mimi mke wangu ananiambia hivyohivyo tu.
Jamaa akaamua aje kuniuliza mimi, nami nimeamua nije kuuliza hapa jamvini.i
Jamaa alipo peleka malalamiko hayo kwa mfanyakazi mwenzake, akamwambia, mbona na mimi mke wangu ananiambia hivyohivyo tu.
Jamaa akaamua aje kuniuliza mimi, nami nimeamua nije kuuliza hapa jamvini.i