Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?




Mla tigo anamnyima mkewe raha ya kuliwa tigo anakwenda kula tigo kwa mchepuko na sie tunamla mkewe.....wakirudi nyumbani wanachuniana na kukemea kabisa tendo la mtu kuliwa tigo. Kazi ipo kweli hapa.
 
Hiyo chain ukiiwaza unaweza kuta hata hata wadogo zako wamo, wanaume na wanawake wanaokula tigo wooote ni wapumbavu tuu. Ni kukosa hekima
Na wanaotiana kawaida bila ndoa wana nini? Si tunaamini kuwa dhambi zote kwa Mungu ni sawa? Mimi naamini wote watasamehewa tu, uwe umeliwa/umekula tigo, mbele, uzinzi, wizi, uongo..nk. the most important thing ni kutubu madhambi yetu yote kwa imani.
 
Niliwahi kuombwa nifanye hivyo...
Ghafla mapigo ya moyo yakaongezeka...sijui ubongo wangu ulilipokeaje mpaka moyo ukaongeza speed.......usinihulize ilikuwaje.....
 
mwanamke ******** n asiyejua thamani take ndo atakubali mapenzi kinyume na maumbile

mbele kwenyewe nanga inapaa....!!mpk kunachubuka....

huko nyuma si majanga!!!!
then jua kwamba siku zote vitu haram mtu akishaonja ndo hataacha milele,kuna mbaba alinionyesha mmama na hesima zake,siku walikua wanachepuka acha jimama likalie muhogo makusudi,,mbaba alijuta sana..baba kajilaza na mgongo baada ya jimama kutaka kukaa juuu,,maajabu akaingiza mkunduni,,,na huezi mzania huyo mama
 
We unamuheshimu MKE wakoo vizurii huwez msukuma topee unaenda sukuma michepuko pasipo kujua unakuta mkeo nae anasukumwa lakn kutokana we ni mumewe anashindwa kukwambia ilaa kuna kajamaa kanamfetuaa hyoo mambo vibayaa mnoo
 
Hii historia yako ina mashaka na pia unaonesha kujigamba mno,

Kuna watu wamevurugwa na wameshafanya mambo makubwa na yakutisha kuliko yako.
Kikubwa mjue mola wako nadhani utapona.
Hakuna kingine zaidi ya kumjua muumba wako.
 
mimi nadhani kila mtu huamua kufanya kile moyo wake unapenda ata nikimuuliza mmoja wenu humu...nani alimfundisha ngono utajikuta tu unacheka hapo ulipo...kila kitu na muda kuna muda ukifika utatamani...kufanya hivi...au kufanya vile...mwanzo ilikuwa ni kugusishana...tuu then kunyonyana tena tumeenda mbali siku hizi hadi kunyonyana sehemu za siri...ila yote ni kuiridhisha mioyo yetu...hivyo msiwalaumu wafanyaji na wafanywaji...ni harakati za kuitambua miitikio ya miili yetu
 
njia ya haja kubwa ni maalumu kwa kupitisha kinyesi tu.

Kwa sbb ya ufinyu wa akili za watu wao wanaona kila tundu ni la kuchomeka tu.
 
Naona umekuja kutetea haya matendo machafu in the name of science. Utakuwa kuni za kuchomea wenzio jehanam
 
Mara nyingi ukiona mke wako unapofanya nae tendo la ndoa anaomba umwekee kidole sehemu ya haja kubwa tena kila mara,unatakiwa ushituke kua uwezekano ni mkubwa wa yeye kuingiliwa kinyume na maumbile ila anaogopa kusema.
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia

huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...

natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…