Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Halaf watu wanaojifanyaga hawapendi hii kitu hapa wakiwa ndani ndio watu hatari zaidi kwny mambo haya
hehhee nakubaliana na ww 100% mkuu
ukute inbox wamejazana kinyama kuomba the same shit
kikubwa tujifunze kuheshim kama anatumia mtandano ni yeye kwa raha zake sisi wengine tuheshimu tu and ofcoz is non of our business
 
Wengine huwa tunakutana na micharuko nini, yaani wanasa tena kwa macho makavu....mara tufanye hivi mara vile.....hadi unapigiwa simu baadae kwamba siku nyingine tutaanza na nyingine ila nitakuelekeza.....hatari sana!
 
Kuna watu wanatafuta ndoa,wengine wanaitafuta talaka kwa bidii.
 
never say never mkuu
mfano mdogo ni huyu mumewe mpaka leo hajui
but tunapaswa kutomdharau dada wa watu na kama kuna msaada tumpe
Ofcoz kiongozi, sijasema lolote. Namhurumia jamaa, na wanaume wenzangu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…