Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Usi thubutu kufanya hivyo utahatalisha ndoa yako kwa sasa,ulipaswa kumueleza kuwa unapenda stail Fulani ktk kufanya mapenzi kipindi cha mwanzo wa mahusiano.Kwa sasa atajua wewe si mwaminifu umechepuka ndio maana umekuja na stail mpya toka kwa xwako.
 
Njoo PM
 
Shetani ana wafuasi wengi sana. Yale mambo ya Sodoma na Gomora yametimia sasa ktk nyakati hizi. Km mume wako hajawai kukuomba hata siku moja, ukithubutu imekula kwako. Ndoa yako itakuwa imekufa
 
Shetani ana wafuasi wengi sana. Yale mambo ya Sodoma na Gomora yametimia sasa ktk nyakati hizi. Km mume wako hajawai kukuomba hata siku moja, ukithubutu imekula kwako. Ndoa yako itakuwa imekufa

Kwamba siku hizi ....wanaume wanawaomba wake zao.....jicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…