Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Njoo pm mm naweza kukusaidia swala lako walaa huta juta na kulalamika tena. Tegemea kupost pongezi tuu
 
Dada yangu mpenzi nakushauri katika jina la Yesu embu muombe huyu Mungu wa mbinguni akuondole hiyo roho ambayo inataka kukupelekea wewe kumkosea huyo Mungu aliye kuumba hiyo ni dhambi iko mlangoni inakuzinga kwa upesi sana na inakupasa kuishinda na kwa kushinda huko ni kwa sala muombe sana Mungu akuondole hivi hujui ya kuwa mwili wako ni hekalu la Mungu na Mungu anasema na mtu akiliharibu hekalu hilo naye atamuharibu mtu huyo? maombi yangu kwa Mungu akuponye na hiyo roho inayokunyemelea maana
 
NIMESOMA HUU UZI NIMESHANGAA UZI WA MAMBO YA TIGO WATU WANACOMMENT SANA
HIVI NANI KATUROGA?
TANZANIA YA VIWANDA ITAKUJA KWELI?
 
Hadithi njoo utamu kolea.....

 
[emoji121]
WAKUU,

NAONA MMELETEWA 'BIASHARA' HARAMU KWA TANGAZO MUBASHARA!

HII NI HATARI!
I SEE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…