Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Pole Sana Dada! Huo mchezo utafutie dawa ya mwasho wangozi unywe na ikiwezekana nenda hospital mweleze Dr akusaidie kukuponya maana mpaka hapo ulipo unabakteria kwenye njia ya haja kubwa ndio wanao kutekenya mpaka unahisi hamu yakufanya hiyo michezo na Mume wako. Kwa ushauri zaidi usithubutu tena kufanya hivyo.
 
Exactly
Fact
 
Geuka chukua mashine wewe mwenyewe then pachika unakotaka.kama ni wa mkoa fulani atakuelewa.
 
NJE YA MADA.
Kama kweli ex wako alikuwa mfiraji basi yupo motoni kitaaaambo
 
Chepuka na mimi maana na mie nliekua nampa huo mchezo alifariki na sasa nimeoa mke wangu naogopa ila dua zimefika hatimae umeptikana.PM plz
 
We mwambie tu kwamba katika pitapita zako siku za nyuma ulifanya hayo mambo sasa unashindwa kujizuia unatamani uendelee kupata huduma walau mara moja kwa wiki na huwezi fanya na mtu mwingine so muombe yeye akufanyie hivo....huwezi jua pengine mwenyewe anaifumua vizuri tu huko nje afu akirudi anajidai sio mtumiaji so better uongee nae na ukweli ni kwamba hili suala la mmoja kuwa mtumiaji na mwingine sio mtumiaji au anajifanya sio mtumiaji kwakuona aibu kumwambia mwenzie ili asionekane mtu wa ajabu linasababisha watu wengi kuwa na michepuko ambapo wanazipata hizo huduma so ni vizuri mkayaweka sawa muendelee kula upepo maisha ndo hayahaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utaogopa kuitumia hiyo ukiogopa madhara alafu asubuhi unagongwa na gari unakufa, si bora ungeonja tu....

"PONDA MALI KUFA KWAJA"

am kidding!!!![emoji28][emoji23]
 
ha ha ha ha ha kwel mficha maradhi kifo kitamuumbua... jiandae na kelbu kali sana na hata kama anafanya hawez kukiri.
Kelbu wapi wakati mwanaume mwenyewe mtumiaji? Msimtishe bana instead mwanaume atafurahi huduma imesogezwa tena safari hii haina kulipia
 
Kelbu wapi wakati mwanaume mwenyewe mtumiaji? Msimtishe bana instead mwanaume atafurahi huduma imesogezwa tena safari hii haina kulipia
mkuu kuwa mkwel hata kama unapewa nje huo mchezo ikitokea siku mpz wako kaja kukwambia akuoe lazma ushtuke sana
 
Kuna dhambi nyingine tunaweza kuziepuka MFANO hyo.....Ila ushauri wangu achana na hyo mawazo coz hkuna mwanaume aliyeteari kumuaribu mke wake labda awe hana nia kuishi na ww kama mke la sivyo UTABAKI MJANE WA KUJITAKIA
 
Wanaume wkt fulani tunakuwa mithili ya machizi.Mwanamke kama huyu unamuoa kwa sherehe kubwaaaa.Pumbavu.
 
Duuuh maajabu hayatakwisha hapa ulimwenguni.
Nafikiria tu hii changamoto ya malezi ya watoto kwa sasa jinsi ilivyo ngumu. Na hao ambao wanataka kufanya hilo tenda ndio baadae wawe washauri kwa vijana wa wakati huo unaokuja.
Nafikiria kwa upana kidogo Tanazania ya miaka 50, baada ya leo, huko mbele maadili yatakuwaje?
 
nikimkuta mwanamke anayelawitiwa, huwa naona kinyaa hata kumwangalia. kwasababu tigo ya mwanadamu kwa jinsia zote ni ile ile tu, inatoa mimavi ileile tu, inanuka vilevile tu, sasa inakuwaje mtu na akili zake anaingiza mdudu wake mle kwenye tope la chooo? huwa hayanuki? halafu, kwa upande mwingine, inakuwaje mtu na akili zake anakubali mtu mwingine ampakue mimavi? haoni aibu? dah, akili zetu zimetofautiana sana.
 
Kwa jinsi ninavyo heshim mila na destur zetu, kwa jinsi ninavyo mheshim my GF siwez hata kumwambia

wanaotumia hiyo kitu hawaombi wanakosea njia tuu. Waweza mheshimu halafu ukakuta jitu lingine pembeni linapewa.
 
Haya mambo nayasikia na kuyaona ktk Porn Video, lakin Nikifkiria sababu za kutotumia K, Pia kama ingekua ni mimi nafanyiwa...kiukweli hua nakasirika sana kuwaza mambo ya mtandao.

Bango
 
Siku za hivi karibuni umeibuka mchezo mchafu sana wa mabinti hasa wa mjini kutaka au kupenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Uchunguzi wangu mdogo nimegundua mabinti wengi wa siku hizi wanapenda sana huu mchezo na hata sisi wanaume tunapenda kuwashawishi mabinti.

Unakuta binti ana miaka 17 lakini tayari keshazoea kufanywa nyuma ni hatari sana. Sasa najiuliza huu mchezo unazidi kukua kwa kasi kutokana na utandawazi au ndo kuiga au tunarudi enzi za sodoma na Gomora!??

Nawasilisha hoja za utafiti wangu.

Mucho gracias amigos!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…