Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Namuacha, natafuta demu mwingine naweka ndani. Baada ya muda fulani hivi nitaenda kumuomba msamaha akikubari namfanya mchepuko naendelea kula nyuma kama anavyo penda
 
Msimamo wangu siku zote kama sijakukuta bikra siwezi kukuoa hata iwaje.....na huna cha kunishauri. Hii ni kusema endelea kutumia locally made but second, third,.........tenth used good
Najua unatania mkuu...
 
Hivi hizi tabia za kishaitwaini mnazitolea wapi?[emoji35] [emoji35]
 
labda nikufahamishe mtoa mada, siku hizi hatuoi mpaka tupige mechi mbili tatu, na mwanamke anayeingiliwa mlango wa uani, unamjua tu, lazma upime ndugu, mlango ule ukiwa unatumika utauona tu, unless uwe mzee wa kifo cha mende pekee.
 
Umesema hafurahii tendo kwa njia za kawaida nawe hupendi sasa hauni km mtaishi km sumaku north pole na south pole hamtaendana muachane tuu.
 
Wengi hawajacoment kwa sababu ya guilty
Wahanga wa kushiriki zinaa kwa mda mrefu ni victims wa huu mchezo ...no wonder inafanya ndoa zinayumba kwa sababu za kijinga za kuchepuka kama hizi

Matokeo imeleta laana na balaa kama UKIMWI na umasikini katika familia na ndoa kuvunjika

Kiafya sio nzuri ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…