Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mkuu kipindi cha uchumba watarajiwa hufcha SNA tabia zao za upande Wa pili. Hujitahidi kuonesha mema tupu. Kwa iyo usishangae wakati wote Wa uchumba kutoonesha iyo Tabia.
 
Unapaswa kumpa ushauri. Usiendeleze tabia ya kumwingilia kinyume na maumbile. Pia mpeleke kwa daktari na wataalamu wa physchology atapata ushauri nasaha na tiba. atapata tiba na atakaa sawa tu. Kumwingilia keo kinyume na maumbile siyo sahihi kimaadili lakini pia ni nhgatari kiafya kwako na kwake. MPENDE MKEO NA KUIMARISHA MAHUSIANO YA KARIBU, ATASAHAU HIYO HALI.
 
Kama mimi ni Mtumiaji Mkubwa wa hiyo kitu mbona nitafurahia aisee,
Manake sintakua natumia nguvu na ushawishi kuliomba hilo tendo
 
Hivi hakunaga vidalili vya awali unavyoweza ukavigundua mwenyewe kwahuyo wakumuita mke mtarajiwa sijui Mke wa ndoa kwamba anatabia chafu Mpaka umeoa na kuweka ndani kabisa ndo unakuja kumgundua...hakuna huto tudalili ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…