Umeona eeeh??! Labda haikuingia yote mkuu na ndio maana akaishia kujikuta kanogewa😕Kama sijaelewa vizuri unasema alipitia bahati mbaya akiwa amelewa na wewe ilikuwa Mara ya kwanza iliingiaje yote bila wewe kushituka?? Na mkaendeleza libeneke basi wewe ni mzoefu
Ujue Mkuu hata mie nimejikuta nawaza kwa sauti halafu nikakosa jibu.Hahahaha kwahiyo unadai jamaa alilewa then akajikuta ameingia huko afu na wewe ukatulia tu........ Basi sawaaaa
Wewe Emmy unaelewaga haraka sana, mwenzio hata sijamuelewa amenichanganyia habari hapaUjue Mkuu hata mie nimejikuta nawaza kwa sauti halafu nikakosa jibu.
Nimemuelewa sana pale aliposema toka aanze Chuo amekuwa na tabia ya kujaribu jaribu vitu tofauti na hiyo ndio sababu ya kilichotokea hizo nyingine mie naziona porojo tu.
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Hahahaha eti unanena kwalugha je sasa huko kwanyuma sijui ungenena nini aiseeHuyu keshanogewa na ishakua tabia. Constipation tu inanitoa jasho na najikuta nanena kwa lugha zote!! Leo hii kifaa kiingie huko halafu nitulie tuu!!🙄
unajua kumdanganya mwenzako sana, Mungu amemsameheje kabla hajazaliwa na alikuwa hajatenda hii dhambi? kikubwa atubu kwa muumba wake na aache na Mungu atamsamehe sio kashamsamehe kabla. duuuh haya mafundisho ya siku hz sijui tuegemee wapiHakuna dhambi, isiyo na msamaha.
Mungu ameisha kukusamehe dhambi zako, before hata hujafikiria kuzaliwa. kikubwa acha na uendelee kumpendeza Mungu, na sio kujifurahisha kwa tamaa za mwilini.
Hahaaa. Duuh!Wewe Emmy unaelewaga haraka sana, mwenzio hata sijamuelewa amenichanganyia habari hapa
Kuacha ni ngumu kuliko..... Ila ukiamua unaweza, Cha msingi badilisha mapenzi switch to another man hii ndiyo suluhu ya hili, aliyekuzoesha hawezi kukuachisha....Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Amini usiamini na wala sikutishi. Mwanaume mfiraji hawezi kumuoa mwanamke anayefir........wa na km ikitokea ni mara chache sana tena sana. Huyo anakutisha ili uendelee kumpa tigo na ndiyo mchezo wake lkn ikifika wakati wa kuoa lazima akuache. "neno mke lina thamani kuliko unavyofikiria'' km ww unavyohisi dhambi ndivyo itakavyomtokea pindi akitaka kuoa.Imeshatokea sasa