Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Niliwahi fundisha shule fulani,mwaka 2010 niliwapata wanafunzi takriban 16 wanaogeuzana wao kwa wao
Niliwafikisha kwenye Uongozi
Utata ulikuwa kwa wenye shule
Walikataa wasifukuzwe wote,walikubali wafukuzwe watt wanne tu,wengine wakabakishwa,eti kwasababu wataathiri uchumi wa Shule
na hao watt ni wa darasa la kwanza mpaka la nne tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi
Mashule ya Bweni,huwa yanavisanga namna hii

ndio maana baadhi ya Mashule,hutia mafuta ya Taa katika Maharage,ili kupunguza mihemko ya vijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mshenzi mmoja anajiita mgonjwa wa taifa anasema eti ni haki yao ya kibinadamu. Pumbavu kabisa. Najuta kumchangia matibabu😡
 
mm nahic njia sahihi n kutoruhusu mjadala wwte wa unaohusisha neno ushoga ili tusipate kulisikia wa kulifatilia hata katika mitaala ya shule homosexuality ifutwe ..n bora tusijue kuliko kujua na kutaman kujaribu .
 
Habari za wikiendi,
Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu mwanmke kwa muda wa kama miaka miwili mpaka sasa na kwetu anatambulika.

Toka siku ya kwanza kulala nae niligundua kitu cha tofauti hasa kwenye stail ya mbuzi kagoma lakini nilipuuzia hadi baadae sana nilipoanza fikiria tena hii ishu.

Kuna kipindi aliwahi niambia rafikiake kamuomba ushauri mumewe anataka apewe nyuma yeye akamshauri akatae.

Mara ya pili (siku nyingine kabisa) aliniambia kuna rafikiake mwingine siku moja alijaribu na mpenzi wake lakini alisikia maumivu sana akaapa haji jaribu tena akanitania au na sie tujaribu nikamwambia geuka akakataa akasema bikira ya huku stoi.

Mara ya tatu (siku nyingine kabisa) aliniambia rafikiangu xxxx wao wana ratiba kabisa ya huku nyuma kila mwezi nikasema ni kawaida tu hiyo, akasema siku nikimuomba ndiyo itakuwa mwisho wetu lakin hakuongea hata kwa kumaanisha nikapuuzia.

Ijumaa alikuja kulala kwangu nikawa napitia chatts za rafiki yake wa kike mwisho wanavoagana kwenye chatt mpenzi wangu alimwambia mwenzake poa lala salama usiku mwema.
Mwenzake akajibu usiku mwema nyonyo yalaze matako ya xxxx akataja jina la mwanaume mwingine tofauti na mie, nikazama facebook kumcheki jamaa ni mshikaji wa nmb customer care na mlevi tu anaonekana nikajua lazima mpenz wangu alikuwa anashiriki mchezo mchafu na huyu jamaa japo kwa sasa hawapo pamoja.

Mwisho nikaangalia simu ya mpenzi wangu nikakuta namba ya yule jamaa ila kamsave bro xxxx jina lake halisi, nilivombana xxxx ni nani akasema alikuwa boy wake wakiwa chuo alilazimisha kumuoa chuo akakataa ivo waliachana jamaa alivooa mtu mwingine.

Basi jioni mpenzi wangu alivoondoka nikamuuliza kama alishawahi shiriki ule mchezo na xxxx akagoma kabisa nilipomuonyesha chat za whatsapp ndio kapotea meseji hajibu simu hapokei.

Wadau nilifanya kosa kumuuliza hivo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha aende Huyo, hakufai Kabisa!?

kutoka: 22D Arnold st.
 
Mi kuna mmoja nlikua na mahusiano nae siku tunapiga show wakati nafanya romance nikamtia kidole cha mknd akalegea kuanza kukikatikia nikaongeza na cha pili ndio anatoa miguno ya kimahaba nikajua hapa Wanyamwezi wameshazibua chemba kitambo pande za TIA Njiro

#bamia_ndefunene
 
Baba niuzie kesi

Push to Start
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…