Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Huendi mbinguni ng'o!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jf ameuliza,
alitakiwa ajibiwe kwa sababu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
sasa mnapoanza kumwambia mama yako,dada zako na shangazi zako maana yake nini, kwani kamlenga mtu humu?
Mara nyingine uungwana tuweke mbele kuliko kashfa na matusi
 
Wazungu wanasema - It takes two to tango. Mwanamke hawezi kujifanya mwenyewe huko nyuma. Lazima apate ushirikiano wa baradhuri mwenzie kama wewe. Na wewe ni mmoja wao. Usijione kuwa wewe ni tofauti. Malaya mkubwa wewe. Kwa nini utembee na wanawake 10 tofauti kama siyo umalaya huo?

 
Ingekuwa vema usingetumia maneno "dada zetu". Umeamua kufanya nao ushenzi waite vinginevyo.

Kila kitu kimeumbwa kwa namna yake na makusudi yake. Kutumia kitu kwa matumizi ambayo hayakukusudiwa ni akili au matope?

Huendi Mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…