Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Ustaadh inabidi ukabidhiwe msikiti.Kwa maana unatoa da'awa si mchezo maalim!
 
Jamiiforum imeingia ubia na mafirauni nn yani haipiti siku huu Mzee lazima uwe promote hili jukwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora tuangamizwe tu hamna namna kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
okoyoko, plato na nanga wao wako wazi kuhusu hilo suala
 
Lakini hiyo ya sodoma na gomora si ilikuwa kati ya wanaume kwa wanaume , hii mada husika ni ya wanawake kwa wanaume , je kwann unafikiri ni sawa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…