Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Dawa ya kuacha ipo ila je yeye mwenyewe anataka kuacha if yes nichek PM nikusaidie
NB: Ni dawa za asili kwa wakazi wa bagamoyo,zanzibar,tanga na mombasa mtakuwa mnaijua
 
kama ni kweli uyasemayo basi achana naye vunja urafiki.... akikuuliza kwa nini mchane makavu... shetani ni noma usipokuwa makini unaweza ukashangaa na wewe umeanza hako kamchezo,,,,,
na pia we mwombe tu ila usimsapport chochote ili afqnikishe huo ujinga
 
Kwanini aache? Acha aendelee kutoa huduma nipe contact zake, trust me hatatumia tango tena
 
Daa!hii tabia ya mapenzi kinyume na maumbile imekuwa tatizo sana,kuna mpangaji mwenzangu yeye huwa anampangia mke wake visafari vya hapa na pale alafu huku nyuma anaenda Mombasa anachukua mwanaume analeta nyumbani anakaa nae humo ndani hadi siku za mke wake kurudi zikikaribia ndo anamsafirisha tena huyo mwanaume.Yaani hata nashindwa nini cha kufanya ili kuokoa hiki kizazi.
 
Nimeshndwa Hata Niandike Nin Ngoja N Pite Tu Maana Sjui Tuta Jbu Nini Sku Ya Kiama Mungu Atuhurumie Maana Matendo Yetu Hayatosh Kuingia Pepeni Binadam Tumekuwa Wabaya Mpaka Bas Mungu Katuletea Jiansia Tofauti Lakn Watu Wamekataa Kama Sio Laana Hi N Nn. Kaa Nae Mbali Sana Uyo Mwisho Wasku Utakuja Kumf*ra Uyo
 
Nmekumbuka K2 Baada Yakuangalia Jina Hapo Ju Nkakumbuka Kuwa Thread Zako Z Na Utata Kwahyo Napata Mashaka Na Ww Sorry Lakn
 
Ulishaachana naye unaomba ushauli wa nini, kama bado unampenda we nenda ukubali kuzama ktk tope.. Na usipo mfanya huko nyuma atakuwa analiwa na wezako.. Bora kuacha kuliko kuachwa
 
hivi kwa hii risala unafikir hatuna kaz ad utuandkie maandsh maref kaa vitab vya shigongo we ungeeleza linalokukera au swal linalokusumbua bas sio unatuchapshia kitabu !!!au unerekod saut tu!! Watasoma wenye muda wa kuchezea hyo hadith
 
hivi kwa hii risala unafikir hatuna kaz ad utuandkie maandsh maref kaa vitab vya shigongo we ungeeleza linalokukera au swal linalokusumbua bas sio unatuchapshia kitabu !!!au unerekod saut tu!! Watasoma wenye muda wa kuchezea hyo hadith



hahahae haloooo umenifurahisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…