Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

samahani humu ndani hiyo tigo ni ipi mnayoizungumza?? Au ni kitu kingine kuliko ninachohelewa mimi??? Ni zaidi ya line???

naboti umekosea njia-humu siyo mwako kabisa, kama hiyo hujui afadhali usijue you are innocent and your mind is uncorrupt endelea kutunza ubikra wako wa moyo hisia na ufahamu.ni line rafiki, take that and go.
 
Hakuna Mwanamke ambae atakataa completely kutoa hiyo kitu ukitaka labda uwe hauko serious, haka ni kautafiti kangu kadogo nilikofanya na kugundua hilo hata Hawa waliomo humu wanaokataa kwa nguvu zote ila usiniulize idadi ya sample nilizotumia
 

Ha haaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…