Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

a ha ha haha Eli79 huna maana


Hoja yako umenipa ukakasi kiaina. I know kuna freedom of choice & speech, lakini kuna choices zingine ukisikia mwenzako amekuwa huru kuzitetea unabaki....khaaaaaah!
 
Last edited by a moderator:
Hoja yako umenipa ukakasi kiaina. I know kuna freedom of choice & speech, lakini kuna choices zingine ukisikia mwenzako amekuwa huru kuzitetea unabaki....khaaaaaah!
ukakasi ni muhimu katika jamiii
 
Enhhhhhhhhh.
Yaani naongea kutoka sakafu ya moyo wangu na namaanisha kabisa na Mungu anisaidie.
Weweeeee😡 yaani naanzaje kukubali huo uchafu.

Mambo ya tendo la ndoa yana hadaa sana usiseme saana! Wadada wakali wakiwa wamevaa tu! Ukikutana na washenzi wa uroda utachoka mwenyewe
 
Mambo ya tendo la ndoa yana hadaa sana usiseme saana! Wadada wakali wakiwa wamevaa tu! Ukikutana na washenzi wa uroda utachoka mwenyewe

Hapana aisee nitahadaiwa kwa mengine kwenye tendo la ndoa lakini siyo hili aiseeee i really.
like realllllllly mean it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…