wewe unaliwa pande mbili?Mupeye tuu haki yake.... uwiiii wanasema samaki analiwa pande mbili [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji87] [emoji87]
kabisa wanachezea sharubu za mfalmeMkuu wa Mkoa, Mbabe wa Vita, Mh. Makonda, watolee uvivu hawa.. plse, iwe funzo nchini na duniani kote...!!
Clouds wanajua wako enzi za JK..!!
Am looking fwrd Makonda kula nao sahani moja..!!
Ruge ni mtu mmoja anajiona anajua sana, na anajiona celebrity,kumbe hovyo sana Ruge.. arrogant tu,.. I believe atakutana na mkono wa Makonda.. demu wake huyo mtangazaji ndio ana promote ushoga nchini, dawa ni kuwafungia tu..!!
kabisa wanachezea sharubu za mfalme
Inachezea masharubu ya mzee, tuone sasa nani ataufyataTv pendwa ya mfalme