nasubir sana mwendelezo wa Kaoge. Wanaopinga kwa nguvu huenda ndo wadau wa Kaoge maana akidai kuwa akiwataja wadau wake anaweza tekwa. Jambo hilo lipo katika jamii hivyo wapo sahihi lizungumziaUnajua watu wanachanganya kati ya ushoga na mashoga. Ushoga ndiyo kitu kibaya ila mashoga siyo wabaya. Tunachopaswa kufanya ni kuwaeleza habari njema ili wamgeukie Mungu na kuacha njia zao mbaya. Na hatuwezi kufanikisha hilo bila kuwa nao karibu. Lazima tuwapende kama tunataka wamgeukie Mungu.
Ni kweli uliyoyaandika. Ila hawaitaji supportUnajua watu wanachanganya kati ya ushoga na mashoga. Ushoga ndiyo kitu kibaya ila mashoga siyo wabaya. Tunachopaswa kufanya ni kuwaeleza habari njema ili wamgeukie Mungu na kuacha njia zao mbaya. Na hatuwezi kufanikisha hilo bila kuwa nao karibu. Lazima tuwapende kama tunataka wamgeukie Mungu.
Ni kweli ushoga haukubaliki tena kabisa. Hata tukijifanya tupo civilized kiasi gani mambo mengine ni upuzi tu kwanza ni kunyume na sheria za MunguBusara ndogo inatuelekeza kuna vitu ambavyo katu hatuwezi kuvifanya mathalan kutembea uchi wa mnyama hadharani au hata kuweza kukaa uchi wa mnyama chumbani kwako hata kama uko peke yako, labda ukiwa bafuni ,
tunajisitiri kwa ajili kulinda heshima ya utu wa mwanadamu sisi sio wanyama .
Kwa busara hiyo hiyo tunajadiliana na kuelimishana mambo yenye tija yanayohusu maisha yetu ya sasa na kwa ajili ya kuendeleza vizazi vyetu kama smbavyo sisi tulivyoyakuta kutoka kwa wazazi wetu,
Inaudhi sana kuona kuna vyombo vya habari vikipalilia njia ya maangamizi kwa vizazi vijavyo
wahusika wa TV hiyo leo wapo duniani baada ya kuzaliwa na baba na mama wakae wajiulize huko miaka ya nyuma kama kungekuwapo na watu wanao shawishi ushoga na jamii ya wakati huo wangeshawishika na na kuitikia bila shaka kizazi cha mwanadamu kingetoweka kwenye uso wa dunia , ni jambo ovu kupindukia wanalojaribu kulitetea na kulitangaza
Tupige kelele nyingi juu ya ufisadi huu wa ushoga usishamiri nchini kwetu
Huwa unashindwa kusema wazi wazi....Lakini unaupenda ushoga. Inawezekana ni mmoja wao lol!!USA bby lol!!Unafiki wa wala vumbi unatia kinyaa!
Huwa unashindwa kusema wazi wazi....Lakini unaupenda ushoga. Inawezekana ni mmoja wao lol!!USA bby lol!!
Kuna "ushoga" na "mashoga"Wewe jane lowasa acha kusupport ushoga
Kama kwako unaona Sawa ni wewe
Nenda clouds ukahojiwe na Yule sijui zamaradiKuna "ushoga" na "mashoga"
Mnajadili mjue chanzo kwani hamkijui? Kwanini msiwaite waliopitia huko na kuacha huo ufirauni ili tujue kweli unataka kuelimisha? Yaani kumuita mtu ambaye yuko kwenye hiyo industry ni kuchochea zaidi ni kumtafutia watejaKukaa kimya na kutojadili haina maana tatizo halipo,miaka yote tumekuwa kimya na hali ndio inazidi kushamiri!Lazima tujadili tujue chanzo ni nini!Utajuaje chanzo kama hauwahoji wahanga?Clouds hawana kosa,tunachojaribu kufanya ni kufunika sehemu inayotoka moshi badala ya kufukua na kuzima moto!
Wewe unasapot nini ushoga au mashoga?Kuna "ushoga" na "mashoga"
Kwa sababu wanawake huwa wanaliwa tigo zao.....alaffu wanapenda kukuwadiwa na mashoga + umbeaaKatika watu wanao usapot ushoga kwa asilimia kubwa ni wanawake huwa nashangaa wanawaalika hata kwenye rusha roho wasasambue kwa hiyo usishangae huyo mwanamke kushabikia
Waliopita huko na kuacha unawapata wapi?Ni sawa na kutafuta sukari kwenye mchanga!Wakati kampeni ya Kala Pins inaanza clouds mliponda sana,wakati huo alikuwa anazungukia wana walioko kitaa wanaobwia unga,aliwahoji na baadaye akawa anawasaidia walio tayari kufika rehab centre!Mpaka sasa amesaidia watu wengi sana,hata Child Benzi ameacha unga kwa msaada wa kala pina na clouds kwa ujumla!Mnajadili mjue chanzo kwani hamkijui? Kwanini msiwaite waliopitia huko na kuacha huo ufirauni ili tujue kweli unataka kuelimisha? Yaani kumuita mtu ambaye yuko kwenye hiyo industry ni kuchochea zaidi ni kumtafutia wateja
Nawapenda na kuwasapoti mashoga in the sense that nao wameumbwa na Mungu na pia wana nafasi ya kurithi Ufalme wa Mungu kama wakiacha njia zao mbaya na kutubu. Lakini hawawezi kutubu kama wasipoambiwa wanachopaswa kufanya. Na hapo ni lazima uwapende.Wewe unasapot nini ushoga au mashoga?