Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Shoga ni mtu anayepractice ushoga kama ulivyosema. Usichoelewa ni kuwa ushoga in kitendo. Sasa huwezi kutatua tatizo kwa kuchukia mtu anayepractice ushoga. Watu wanazaliwa kila siku.
Wanazaliwa wakiwa ni mashoga?
 
Kwenye hili sijaona tatizo la clouds. Clouds imefikisha ujumbe na wala haikuchochea hilo suala.

Kama sio hicho kipindi tungejua kuna wafadhili wa huo mchezo nchi hii? Serikali ingejua nchi imefika kiwango hiki kwenye suala la ushoga? Tunajua walitumia nguvu na mbinu kiasi gani ili kumpata shoga atakayekua tayari kuhojiwa?

Clouds inastahili pongezi, wao ndio wamefanya serikali iongeze nguvu kukemea ushoga kutokana na kipindi kile. Waachwe wafanye kazi.
 
Walimhoji Shoga ili aeleze kuliko ni hadi kuwa shoga. Shoga akatiririka, akajifagilia anavyoupenda Ushoga mpaka anatamani kubeba mimba
Akaapa hatokaa auache Ushoga. Watanzania hasira zote kwa Zama kwanini amhoji Shoga kwenye Public Media? Wakaomba TV yao ifungiwe ime Promote Ushoga.
 
Walifanya vizuri sana Clouds
 
Wanajifunza kupitia wengine
Kwa hiyo kwa wanavyojieleza mpaka wanaupenda mchezo na kutamani kubeba mimba hapo mnaokoa vizaz vijavyo? Sijasikia huyo shoga anasema ameathirikaje zaidi ya kusifia mchezo husika
 
Siku hizi vijana wanaobalehe halafu hawajui kutongoza ndio wanawabandua hawa wananyama.
Na wakishawaonja tu, hawaji kuacha, akimwonja mwanamke anahisi kama hajafaidi kabisa kwa sababu ashazoea ndogo.
Hili tatizo ni kubwa na si la kuliunga mkono kwa namana yeyote ile.
 
Napenda kujua, mbona movie/filamu za ujambazi zinaonyeshwa, lakini za ushoga hazitakiwi?
Au ujambazi unakubalika!
 
Jibu ni ndiyo mama mdogo..Walichofanya Clouds ni kama kulipa jambazi linalojivunia utajiri wake airtime ya kutosha lijinadi.Kila mtu atatamani kuwa jambazi.
wewe ulitamani kuwa shoga baada ya kaoge kuhojiwa?
 
wewe ulitamani kuwa shoga baada ya kaoge kuhojiwa?
Nazungumzia watoto wetu.Kipindi cha utoto na ujana ni cha kujaribu mambo mengi iwapo utakosa miongozo mizuri.

Vipi na wewe unataka mahojiano ya Kaoge yarudiwe ili watu wengi zaidi waongeze ufahamu wa utamaduni wa ushoga?
 
Jibu ni ndiyo mama mdogo..Walichofanya Clouds ni kama kulipa jambazi linalojivunia utajiri wake airtime ya kutosha lijinadi.Kila mtu atatamani kuwa jambazi.
Kwahiyo leo kila mtu anatamani kuwa shoga baada ya ile show ya Clouds?
 
Ahaa wapi! Nilimuangalia huyo Kaoge nikatamani nimpe Counseling aliyohitaji. Nikajiuliza sijui anapata ladha gani Kaoge hadi ajifagilie vile. Anamlaani mama yake hakumpa Care akiwa mtoto amrudishe kwenye mwelekeo wa jinsi ya Straight. Mwalimu wake pia alichangia yeye kuwa sugu alishindwa kumrekebisha akamtia moyo kwa kumwagizia pa kwenda kupata Wateja mwalimu akiwa mmojawapo. Baba anamuita majina ya like badala ya kumuadhibu. Mama Wa Kambo anamtakia safari njema ya kwenda kutafuta. Wateja Dar wamempangia nyumba upande. Daktari kamwambia anaweza kubeba mimba. NGO inampatia vilainishi Na kondom.[/QUOTE]
 
Sioni tatzo la clouds wameionyesha tz ilivyo sasa kosa ninini?????
Cloudsss beibeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…