Wewe ndo hujielewiteh teh nakuhurumia kweli maana hujielewi na hauelewi umeandika nini!!
Wanazaliwa wakiwa ni mashoga?Shoga ni mtu anayepractice ushoga kama ulivyosema. Usichoelewa ni kuwa ushoga in kitendo. Sasa huwezi kutatua tatizo kwa kuchukia mtu anayepractice ushoga. Watu wanazaliwa kila siku.
Wanajifunza kupitia wengineWanazaliwa wakiwa ni mashoga?
Walifanya vizuri sana CloudsWalimhoji Shoga ili aeleze kuliko ni hadi kuwa shoga. Shoga akatiririka, akajifagilia anavyoupenda Ushoga mpaka anatamani kubeba mimba
Akaapa hatokaa auache Ushoga. Watanzania hasira zote kwa Zama kwanini amhoji Shoga kwenye Public Media? Wakaomba TV yao ifungiwe ime Promote Ushoga.
Kwa hiyo kwa wanavyojieleza mpaka wanaupenda mchezo na kutamani kubeba mimba hapo mnaokoa vizaz vijavyo? Sijasikia huyo shoga anasema ameathirikaje zaidi ya kusifia mchezo husikaWanajifunza kupitia wengine
Jibu ni ndiyo mama mdogo..Walichofanya Clouds ni kama kulipa jambazi linalojivunia utajiri wake airtime ya kutosha lijinadi.Kila mtu atatamani kuwa jambazi.Sasa Clouds walinadi ushoga lini?
Ndio maana hawaopi mtu yeyote ..lkn..mtoto ukimpenda sana ndie atakayekuua.Tv pendwa ya mfalme
Apo sawa.Umeeleweka.Natumaini uliangalia mahojiano yale na wanao ili wapate ufahamu mpana wa utamu wa mapenzi ya jinsia moja.Walifanya vizuri sana Clouds
watu ni wanafikiNapenda kujua, mbona movie/filamu za ujambazi zinaonyeshwa, lakini za ushoga hazitakiwi?
Au ujambazi unakubalika!
wewe ulitamani kuwa shoga baada ya kaoge kuhojiwa?Jibu ni ndiyo mama mdogo..Walichofanya Clouds ni kama kulipa jambazi linalojivunia utajiri wake airtime ya kutosha lijinadi.Kila mtu atatamani kuwa jambazi.
Nazungumzia watoto wetu.Kipindi cha utoto na ujana ni cha kujaribu mambo mengi iwapo utakosa miongozo mizuri.wewe ulitamani kuwa shoga baada ya kaoge kuhojiwa?
Kwahiyo leo kila mtu anatamani kuwa shoga baada ya ile show ya Clouds?Jibu ni ndiyo mama mdogo..Walichofanya Clouds ni kama kulipa jambazi linalojivunia utajiri wake airtime ya kutosha lijinadi.Kila mtu atatamani kuwa jambazi.
Hahaha....Loh Jane!Kwanza uko wapi nikununulie bia mbili ?Kwahiyo leo kila mtu anatamani kuwa shoga baada ya ile show ya Clouds?