Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Ndiyo kwanza nipo paragraph ya tatu nimeshikwa na usingizi ngoja nikalale na nikiamka Kesho nikumbusheni nilipoishia tafadhalini.
 
Usitutishee wewe kwanza madaktari wako wengi,ugonjwa unaotisha ni kansa,ini na figo hayo mengine cha mtoto tutaendelea kula ndogo hatuachi n'gooo
 
Waogelea mifereji ya tope hawajaipenda kabisa ama kweli hiki ni kizazi cha nyoka
 
Mara hajui kuendesha gari akamuita shem wake....mara akachukua funguo ya gari akadrive!!!Its a good story but its a fucking fake one!
sure kwenye uchambuzi wa FASIHI

kufaulu na kushindwa kwa mwandishi/mtunzi
 
kwa hiyo hii ni hadithi maana uzi huu tulishauchangia sana, heading inaonesha kana kwamba hiyo ni kama malaria ukiumwa na mbu unaipata.
 
Mara hajui kuendesha gari akamuita shem wake....mara akachukua funguo ya gari akadrive!!!Its a good story but its a fucking fake one!
amesema hajui kuendesha gari usiku kwani kuna tofauti ya uzoefu wa kuendesha gari usiku na mchana hasa upande wa taa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…