Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

daa huu uzi unauma na mimi nimetoka kuzibua sasa hivi daa nimeacha kuanzia leo
 
Ukimkataza mtoto kuchezea wembe unatakiwa umpe pamba achezee...hebu toa mbadala wa kula 0713.maana usiishie kuwaambia watu ni vibaya wakati wenzio wameshaathirika
 
Hii Story for sure tumeichoka kila baada ya muda fulani inaletwa upya.... Watu wanatembea backwards tutafika kweli?
 
Habari zenu wanajamvi, natumaini mu wazima wenye afya, naandika uzi huu kama malalamiko kwa baadhi ya akina dada wenye tabia kama hii.

Ilikuwa juzi baada ya kazi na mizunguko ya kuwajibika nilienda kwenye baa moja kupata walau kinywaji cha kupunguzia uchovu, kama ilivyo kawaida maeneo kama hayo hawakosekani warembo wa aina tofauti tofauti, lakini baada ya kukaa kwa mda nilimuona dada mmoja mzuri, mrefu mwenye umbo zuri, hali hii ilinilazimu kumuita alikubali kusogea nilipokuwa nimekaa na mazungumzo nikayaanzisha, nilibaini kuwa dada yule alikuwa mwenye asili ya kinyarwanda yaani mtutsi,

Tuliongea na baadae akawa upande wangu hivyo tukakubaliana kuwa pamoja usiku ule, aliomba kuchukua konyagi kama kinywaji cha kwenda nacho sikujali, mida ya saa tano hivi usiku tulielekea sehemu yangu ya kulala huku nikiwa na shauku hasa nikiona jinsi binti huyu alivyoumbika, mda ukafika ndani ya chumba akiwa ameweka konyagi kichwani
Lakini baada ya maandalizi ya mchezo akawa anaomba huduma nami nikiwa tayari kutoa hiyo huduma.

Cha kushangaza akawa ananisihi eti nimfanye kinyume na maumbile (anal penetration), nlidhani utani lakini alizidi kunisihi akidai eti hajawahi ila anataka kujaribu tu, hali hii ilitia ganzi kifikra na kujikuta hamu yote inatoweka kwani nilikuwa nasikia tu haya mambo. Nilishikiria msimamo na kuahirisha zoezi hilo..
Cha kushangaza asubuhi alinisisitiza kumtunzia siri!!

SO SAD!!
NANI KAWAFUNDISHA USODOMA HUU!!?
 
Labda alikuwa ana bleed ndio maana akaona asikunyime kabisa sasa ulishindwa kujiongeza bwashee.
 
Rafiki unaenda kuokota kahaba alafu unakuja kujiliza hapa ina maana huwajui tabia zao?
 
wewe vipi unanunua wanawake huko unakuja kuhadithia upuuz wako hapa wewe uliyeokota mwanamke na yeye anayeomba kuliwa nyuma hamna tofauti yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…