Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

kama haukutumia kondom nenda kapime magonjwa ya zinaa.

siku nyingine utaokota moto utakuunguza... tafuta mmoja au kuwa na subira (ya vuta heri)
 
Unakataaa neema za Mungu,are you serious? Nikikutana na wewe nq kuchapa kama yule mwenyekiti wa ccm wa Rungwe.
 
wewe vipi unanunua wanawake huko unakuja kuhadithia upuuz wako hapa wewe uliyeokota mwanamke na yeye anayeomba kuliwa nyuma hamna tofauti yoyote
Hii nimeamua kuiexpose ili kutoa nafasi kwa wenye kukerwa na tabia hii na sio kutukanwa kama ulivyofanya wewe. Tafadhali kuwa mvumilivu unapochangia jambo.
 
Unakataaa neema za Mungu,are you serious? Nikikutana na wewe nq kuchapa kama yule mwenyekiti wa ccm wa Rungwe.
Kwa hii comment yako inaonyesha ni kwa jinsi gani wabongo wengi mlivyo vichwa maji kazi kufuata tu mkumbo kwa mambo yasiyo na maana halafu mkiambiwa ukweli mnakimbilia kutoa pofu. Jitambue ndugu kwa mtindo huu wa kushabikia ujinga hatutafika popote
 
wanawake wa siku hizi wanaona ufahari kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Mm siwezi kuoa hii taka taka kbsa ni laana.
Yes! Sbb waliofumua marinda wote wameshaondoka. Ndiyo ujiulize kwann waliondoka? Haufai kuwa mke Kwann unipe mm mzigo wakati waliokufanyia huo uchafu wamekukimbia?
Kiukweli! Nyie dada zangu, msikubali huu uchafu, sbb ukiuukubali ww haufai kuitwa mke. Utagongwa sana, kila mtu atakuwa anapita na kuondoka sbb ww ni chombo cha starehe. Mm hata km bure siwezi kukuoa.
 
Kwa hii comment yako inaonyesha ni kwa jinsi gani wabongo wengi mlivyo vichwa maji kazi kufuata tu mkumbo kwa mambo yasiyo na maana halafu mkiambiwa ukweli mnakimbilia kutoa pofu. Jitambue ndugu kwa mtindo huu wa kushabikia ujinga hatutafika popote
Wewe ndo hujitambui,unajua mimi nataka kufika wapi? Halafu,aliyekwambia huu ni ujinga ni nani? Inawezekana wewe ndiyo mjinga na hujitambui.kuna watu wanakula nyoka na hawaoni shida,ukienda wewe na upumbavu wako utaanza kuwatukana kwa kuwa wanakula nyoka,mkuu kama wewe hujui utamu wa tigo kaa kimya.
 
aisee,so sad.kama huyataki haya,simama katika Mungu.naamin usingeingia hata hapo baa
 
Hata asiyemjua mungu hufika wakati humuogopa nakuziheshimu sheria zake..!
##hongera kwakujichomoa katikati yamapaja mawili##
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…