Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Yaani una degree alafu kuandika ndio hujui?

Kwa haya mawazo yako, jitafakari vya kutosha Mkuu.
 
Kwa ku-summarize hadithi yako ndefu nimegundua tabia uliyonayo inatokana na kuchelewa kufanya baadhi ya mambo pale umri unaporuhusu kama unasema wakati unalikuwa unasoma ulikuwa huna time na wasichana kabisa...Sasa hapa tabu ndo inapokuja umeanza kuwa na time na hao wanawake wakati is too late tayar upo na wife lakini ndo kama vile umebalehe hadi unafanya mapenzi kunyume na maumbile..This is too bad ndugu yangu ...hakuna namna ingine yakupasa ubadilike tena kwa haraka maana njia hii uendayo haitakuwa na mwisho mzuri kwako....Na iwe fundisho kwa wale wanaojizuia kufanya baadhi ya mambo kulingana na umri husika maana utakuja kufanya vituko uzeeni.....
 
wewe ndio ulileta Uzi kuna mama bossi wako anakutoa out na mitego kibao?
 
Yaani una degree alafu kuandika ndio hujui?

Kwa haya mawazo yako, jitafakari vya kutosha Mkuu.
tena ya IT.sasa taarifa za watu anaziandikaje wakati IT ina communication skill...
 
mimi nachukuwa IT.ukweli ananiogopesha na kututukabisha wana IT, bora hata asingetaja...halafu anasema IT,INA ajira ndogo wakati kati ya masomo yenye mfumo wa kujiajiri kwa mtaji kidogo ni IT..
 
 
Yaani kweli uandishi ni kipaji. Sijauua mwalimu wako wa insha au utungaji alikuwa anakupa alama gani kwa kuwa hakika umechanganya kuliko kachumbari. Ila sasa yote hayo unajitakia mwenyewe tu kwa kuendekeza mwili badala ya akili.
 
Aise hata ningemaliza kusoma nisingeelewa. Kila la heri kwenye huo mtandao unaowazia/penda
 
Aisee, kama historia ndo inaandikwa hivyo basi HISTORY imepatwa, lakini nahisi una jini mahaba kama huamini hebu niangalie kama na mie nitaangalia pembeni
 
Mtu mwenye kiburi na hasira hawezi kuwa na busara hata siku moja

Pixel
 
Aisee, kama historia ndo inaandikwa hivyo basi HISTORY imepatwa, lakini nahisi una jini mahaba kama huamini hebu niangalie kama na mie nitaangalia pembeni
Hatupo kwenye mashindano ya kuandika insha mkuu! kikubwa msg iwe delivered.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…