Nani kakwambia sex kwao sio pleasure? Ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?Kwahiyo unataka simba apige kifo cha mende au ndo uwezo wa kureason ulipoishia?? Kwa maumbile ya hao wanyama na flexibility yao unadhani wanaweza kujipindapinda kama binadamu?? By then wao sex siyo for pleasure wao sex ni kwa dhumuni la uzazi tu,cha kwanza kwao tumbo
Tudadavulie vizur mkuu kuhusu sababu ya kujamiana kwa wanyamaNani kakwambia sex kwao sio pleasure? Ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?
kupeana mautamu na kuendeleza kizaziTudadavulie vizur mkuu kuhusu sababu ya kujamiana kwa wanyama
Kunguru n mnyama??Sio Wanyama Wote! Kunguru Hafanyi Hivyo Trust Me! Kama Unabisha Nenda Kwenye Dampo lolote lile Ukawaangalie.
Kunguru ni Mnyama ila sio mamalia.Kunguru n mnyama??
Sijawahi kuona Mnyama yoyote mbali na Binadamu ambaye Dume halimuingilii Jike kwa nyuma yaani kupitia matakoni, hivi ni kwanini?
Je, inaweza labda kuwa ndiyo moja ya sababu ya Wanaume wengi kupenda wanawake wenye makalio makubwa pmj na style ya kujamiiana ijulikanayo kama doggy style ndiyo style maarufu na ipendwayo siajabu klk zote?
Kwa maana wataalamu wanatuambia kwamba tumetokana (Binadamu) na Wanyama au tusema ndugu zetu wa karibu kabisa ni Wanyama ni hivyo inawezekena kabisa labda sababu ya Wanaume kupenda Wanawake wenye makalio makubwa inatoka na asili yetu ya kujamiiana kwa nyuma kama Wanyama wengine wafanyavyo?
Angalia mwenyewe baadhi ya picha za wanyama wanapojamiiana!
Au unataka na ya binadamu?ππππππ
Kunguru n mnyama??
Sasa kwani hizo sehemu zao zimekaa wapi hadi ushangae, kichwani?Sijawahi kuona Mnyama yoyote mbali na Binadamu ambaye Dume halimuingilii Jike kwa nyuma yaani kupitia matakoni, hivi ni kwanini?
Je, inaweza labda kuwa ndiyo moja ya sababu ya Wanaume wengi kupenda wanawake wenye makalio makubwa pmj na style ya kujamiiana ijulikanayo kama doggy style ndiyo style maarufu na ipendwayo siajabu klk zote?
Kwa maana wataalamu wanatuambia kwamba tumetokana (Binadamu) na Wanyama au tusema ndugu zetu wa karibu kabisa ni Wanyama ni hivyo inawezekena kabisa labda sababu ya Wanaume kupenda Wanawake wenye makalio makubwa inatoka na asili yetu ya kujamiiana kwa nyuma kama Wanyama wengine wafanyavyo?
Angalia mwenyewe baadhi ya picha za wanyama wanapojamiiana!
Embu weka na za binadamu tulinganishe kama ni kweli-Copied from dexSijawahi kuona Mnyama yoyote mbali na Binadamu ambaye Dume halimuingilii Jike kwa nyuma yaani kupitia matakoni, hivi ni kwanini?
Je, inaweza labda kuwa ndiyo moja ya sababu ya Wanaume wengi kupenda wanawake wenye makalio makubwa pmj na style ya kujamiiana ijulikanayo kama doggy style ndiyo style maarufu na ipendwayo siajabu klk zote?
Kwa maana wataalamu wanatuambia kwamba tumetokana (Binadamu) na Wanyama au tusema ndugu zetu wa karibu kabisa ni Wanyama ni hivyo inawezekena kabisa labda sababu ya Wanaume kupenda Wanawake wenye makalio makubwa inatoka na asili yetu ya kujamiiana kwa nyuma kama Wanyama wengine wafanyavyo?
Angalia mwenyewe baadhi ya picha za wanyama wanapojamiiana!