Kwanini wanyonge wa Hayati Magufuli wanamlilia sana Kassimu Majaliwa kuliko Rais Samia?

Kwanini wanyonge wa Hayati Magufuli wanamlilia sana Kassimu Majaliwa kuliko Rais Samia?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Hili linanishangaza! Hivi siku hizi wale Tiss waliompatia taarifa Rais mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani, kwa vitendo wameenda wapi?

Au siku hizi wanaripoti kwa Kassimu Majaliwa tu na yeye ameamua kukaa kimnya?

Ninajiuliza mbona wanyonge wa JPM Sasa wamegeuka wanyonge wa Kassimu Majaliwa? Yeye ndo anayewasemea na wanamlilia yeye kuliko Rais kwanini?

Au Mimi nasikia vibaya? Wako wapi waliokuwa wakijitokeza barabarani kumzuia Magufuli wakilia Lia barabarani mbona hawapo? Au walikuwa ni vijana wake wa idara alikuwa anatuzuga?

Karibuni sana
 
Ili linanishangaza?hivi siku hizi wale Tiss walio mpatia taarifa Raisi mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani,m Kwa vitenndo wameenda wapi...
Ule ulikuwa ni ujinga wa kiwango cha juu. Mara muuza mahindi ya kuchoma pale Njiapanda ya Turiani, siku nyingine muuza jogoo huko Kilwa àu muuza kahawa Chato.

Zile security system za 1970s zimepitwa na wakati. Tumezizika pamoja na Magufuli kule Chato
 
Ili linanishangaza?hivi siku hizi wale Tiss walio mpatia taarifa Raisi mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani,m Kwa vitenndo wameenda wapi...

Zile zilikuwa siasa za kishamba sana, yale maigizo ya kulia sijui nini yalikuwa staged ili kuhadaa umma kuwa wanawajali wanyonge.

Huyo mnyonge anasubiri rais afike ndio tatizo lake litatuliwe si atakuwa mnyonge daima? Huyu wanayemlilia sasa kama wako, ni kwakuwa wanajua ni mshamba aliyebaki.
 
Umweleze shida yako unayejua hawezi kukusaidia!
 
Hili linanishangaza! Hivi siku hizi wale Tiss waliompatia taarifa Rais mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani, kwa vitendo wameenda wapi...
Hakuna shida naona, kwa sasa nadhani hakuna masikini tena ktk 'nnji' hii

Matajiri mmetamalaki
 
Hamna mnyonge Tanzania ilikuwa ni mbinu ya jpm kutufukarisha watanzania makusudi ili abaki yeye ndo jogoo. Wote alitaka kutufanya wamachinga kuanzia kwa mo, Bakhresa mpaka Mimi wote tufanane. Lile lijibwa Bora limeondoka
Hili linanishangaza! Hivi siku hizi wale Tiss waliompatia taarifa Rais mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani, kwa vitendo wameenda wapi?

Au siku hizi wanaripoti kwa Kassimu Majaliwa tu na yeye ameamua kukaa kimnya?

Ninajiuliza mbona wanyonge wa JPM Sasa wamegeuka wanyonge wa Kassimu Majaliwa? Yeye ndo anayewasemea na wanamlilia yeye kuliko Rais kwanini?

Au Mimi nasikia vibaya? Wako wapi waliokuwa wakijitokeza barabarani kumzuia Magufuli wakilia Lia barabarani mbona hawapo? Au walikuwa ni vijana wake wa idara alikuwa anatuzuga?

Karibuni sana
 
Back
Top Bottom