Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Apewe mpangoo ni kitu ile au ummymwalimu namkubali sana .Kwa hiyo tumeachana na ule utaratibu wa kupokezana Wakristo na Waislaam? Au Majaliwa Majaliwa kabadili imani yake?
Sio simpendi Samia hapana siwezi mkataa raisi wa tanzania yule mama ni bibi ni mama wa mtu so lazima uwe na heshima hata kama yeye hana wewe unamwonyesha tu .