Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Apewe mpangoo ni kitu ile au ummymwalimu namkubali sana .Kwa hiyo tumeachana na ule utaratibu wa kupokezana Wakristo na Waislaam? Au Majaliwa Majaliwa kabadili imani yake?
Mama bonge who is she ??Na Mama Bonge awe Waziri Mkuu wake.
Na kuwe na Wizara ya Machinga itakayokuwa inawakopesha Majora ya Vitenge.
Mfanyabiashara mzito wa Vitenge vya WaxMama bonge who is she ??
NiambieMfanyabiashara mzito wa Vitenge vya Wax
Hili linanishangaza! Hivi siku hizi wale Tiss waliompatia taarifa Rais mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani, kwa vitendo wameenda wapi?
Au siku hizi wanaripoti kwa Kassimu Majaliwa tu na yeye ameamua kukaa kimnya?
Ninajiuliza mbona wanyonge wa JPM Sasa wamegeuka wanyonge wa Kassimu Majaliwa? Yeye ndo anayewasemea na wanamlilia yeye kuliko Rais kwanini?
Au Mimi nasikia vibaya? Wako wapi waliokuwa wakijitokeza barabarani kumzuia Magufuli wakilia Lia barabarani mbona hawapo? Au walikuwa ni vijana wake wa idara alikuwa anatuzuga?
Karibuni sana
Kamuuzie mahindi Samia na wewe kule Kasulu yuko kwenye ziara.Hili linanishangaza! Hivi siku hizi wale Tiss waliompatia taarifa Rais mwendazake na yeye kukosa kifua kuzisema hadharani, kwa vitendo wameenda wapi?
Au siku hizi wanaripoti kwa Kassimu Majaliwa tu na yeye ameamua kukaa kimnya?
Ninajiuliza mbona wanyonge wa JPM Sasa wamegeuka wanyonge wa Kassimu Majaliwa? Yeye ndo anayewasemea na wanamlilia yeye kuliko Rais kwanini?
Au Mimi nasikia vibaya? Wako wapi waliokuwa wakijitokeza barabarani kumzuia Magufuli wakilia Lia barabarani mbona hawapo? Au walikuwa ni vijana wake wa idara alikuwa anatuzuga?
Karibuni sana
Vipi walipofukuzwa Mjini dar uliwatetea?😅😅Sasa hivi machinga wameisha kabisa kwenye akili za nyumbu
Kipengele gani kwenye katiba kinataka utaratibu huo!? Halafu hao wa dini nyingine Wana Roho mbaya Sana wakiongoza nchi na Wana udini sanaKwa hiyo tumeachana na ule utaratibu wa kupokezana Wakristo na Waislaam? Au Majaliwa Majaliwa kabadili imani yake?
Siasa za kisasa ni kama za Chadema. Mgombea Urais wao anakaa Ughaibuni anakuja kugombea, anashindwa na anarudi kuishi Ughaibuni! Ahahahahah!!!Zile zilikuwa siasa za kishamba sana, yale maigizo ya kulia sijui nini yalikuwa staged ili kuhadaa umma kuwa wanawajali wanyonge.
Huyo mnyonge anasubiri rais afike ndio tatizo lake litatuliwe si atakuwa mnyonge daima? Huyu wanayemlilia sasa kama wako, ni kwakuwa wanajua ni mshamba aliyebaki.
Unaumwa weweKassim Majaliwa ni rais ajaye
Siasa za kisasa ni kama za Chadema. Mgombea Urais wao anakaa Ughaibuni anakuja kugombea, anashindwa na anarudi kuishi Ughaibuni! Ahahahahah!!!
Katiba ipi imeainisha jambo hilo la kupokezana?Kwa hiyo tumeachana na ule utaratibu wa kupokezana Wakristo na Waislaam? Au Majaliwa Majaliwa kabadili imani yake?
Labda rais wa "kangomba".Kassim Majaliwa ni rais ajaye
Tukisema ndiye mshamba au sukuma gang aliyebaki tutakuwa tumekosea?Kassim Majaliwa ni rais ajaye
HahaahhaMama bonge who is she ??
Jiandae tu kisaikolojiaLabda rais wa "kangomba".
Tanzania PM hawezi kuwa Rais. Futa kauli yako!Kassim Majaliwa ni rais ajaye
Ahahahahah!!Hakuwa anaishi ulaya mpaka yule mshamba aliyeko jehanamu alivyotaka kumuua. Na aliporudi akaishia kumpora uchaguzi akaagiza auwawe tena, ulitaka abaki akifanya nini?