Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Katika mgogoro wa Israel na Wapelestina ni wazi mpango wa mataifa mawili kama umeshakufa kimya kimya. Fursa moja kubwa iliyobaki ni uwepo wa taifa moja lenye kujumuisha jamii zote mbili za Wayahudi na Wapalestina kama raia walio sawa katika taifa moja.
Inawezekana Siku moja Wapestina wakakubali haiwezekani tena kuwa na taifa lao tofauti na Israel na wakataka kuwa sehemu ya Israel?
Itakuaje wakitaka kuwa raia kamili wa Israel na watambulike rasmi kama raia wa Israel wenye haki zote za taifa la Israel?
Inawezekana Siku moja Wapestina wakakubali haiwezekani tena kuwa na taifa lao tofauti na Israel na wakataka kuwa sehemu ya Israel?
Itakuaje wakitaka kuwa raia kamili wa Israel na watambulike rasmi kama raia wa Israel wenye haki zote za taifa la Israel?