sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mpare anaweza kutunza hela lakini kinachomshinda ni kwenye kutoa hela kuwekeza.
Mpare anapenda hela kuitazama tu mfukoni ndio furaha yake na sio kuitumia kumzalishia.
Wapare wengi ukikuta wana maendeleo labda ni kupitia ajira kwenye mishahara ama upigaji, ni nadra sana kuwakuta wameumiza kichwa kupambana kwenye biashara na kuzipanua.
Mji wa Moshi wapare ndio watu wa mwanzo kuingia pale mjini lakini mpaka leo ndio kabila limebakia nyuma.
Wachaga wametoka milimani huko Rombo, Tarakaea, Marangu, Kilema na Kibosho wamekuja kuitawala mji wa Moshi kibiashara.
Hata mji wa Himo ambao nao umeshamiri wapare hakuna Cha maana wanachofanya zaidi ya kula mirungi na kuwa madalali wa mabasi pale stendi.
Hata hao waliobahatika kufungua vibiashara havikui viko pale pale miaka nenda miaka Rudi.....hamuamini hata mkewe kwenye duka lake na yeye akifa anakufa na biashara yake.
Miji waliyojaa wapare ndio imekuwa kitovu na alama ya umaskini wa mwili na akili kwa mkoa wa Kilimanjaro......anzia hedaru, Makanya, Same, Mwanga, Gonja mpaka Usangi....kote huko kumepauka.....ukiingia Kona ya kuelekea Himo Mandhari yake tu yanakuonyesha kuwa umeingia eneo la watu wanaojua wanafanya nini maishani mwao.
Mpare anapenda hela kuitazama tu mfukoni ndio furaha yake na sio kuitumia kumzalishia.
Wapare wengi ukikuta wana maendeleo labda ni kupitia ajira kwenye mishahara ama upigaji, ni nadra sana kuwakuta wameumiza kichwa kupambana kwenye biashara na kuzipanua.
Mji wa Moshi wapare ndio watu wa mwanzo kuingia pale mjini lakini mpaka leo ndio kabila limebakia nyuma.
Wachaga wametoka milimani huko Rombo, Tarakaea, Marangu, Kilema na Kibosho wamekuja kuitawala mji wa Moshi kibiashara.
Hata mji wa Himo ambao nao umeshamiri wapare hakuna Cha maana wanachofanya zaidi ya kula mirungi na kuwa madalali wa mabasi pale stendi.
Hata hao waliobahatika kufungua vibiashara havikui viko pale pale miaka nenda miaka Rudi.....hamuamini hata mkewe kwenye duka lake na yeye akifa anakufa na biashara yake.
Miji waliyojaa wapare ndio imekuwa kitovu na alama ya umaskini wa mwili na akili kwa mkoa wa Kilimanjaro......anzia hedaru, Makanya, Same, Mwanga, Gonja mpaka Usangi....kote huko kumepauka.....ukiingia Kona ya kuelekea Himo Mandhari yake tu yanakuonyesha kuwa umeingia eneo la watu wanaojua wanafanya nini maishani mwao.