Kwasababu wanapenda kula mayai mabichi kama nyoka.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sijawahi kumuona mrangi mwenye sauti nzito au base
Wote wanaume na wanawake sauti zao nyembamba na nyororo
Hivi ni sababu zipi zinazowafanya jamii hii wawe na sauti nyembamba ,hakuna mrangi mwenye sauti nziti utafiti huu ni zaidi ya prof Mruma na ya Osoro.
Ni kwanini ?
Hakuna kitu mrangi anapenda duniani kama malapa yaliyong'aa, hasa ya rangi ya manjano.Yani hao hata kuwasikia sitaki kabisa... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwanini umeisoma?Siku ingine leta thread zenye mafanikio na tija kwa jamii, usilete thread za kama mtu alokula ugoro
Sawa mkuu, hayo yote yako tuuHakuna kitu mrangi anapenda duniani kama malapa yaliyong'aa, hasa ya rangi ya manjano.
Mrangi anatumia masaa mawil kung'arisha malapa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sijawahi kumuona mrangi mwenye sauti nzito au base
Wote wanaume na wanawake sauti zao nyembamba na nyororo
Hivi ni sababu zipi zinazowafanya jamii hii wawe na sauti nyembamba ,hakuna mrangi mwenye sauti nziti utafiti huu ni zaidi ya prof Mruma na ya Osoro.
Ni kwanini ?
Kwann mkuu,maana nina demu wangu mrangi,sema kijeuri icho.Yani hao hata kuwasikia sitaki kabisa... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwann mkuu,maana nina demu wangu mrangi,sema kijeuri icho.
Siku ingine leta thread zenye mafanikio na tija kwa jamii, usilete thread za kama mtu alokula ugoro