Kwanini warangi hawana sauti nzito ? Kwanini warangi wote sauti zao nyembamba

Kwanini warangi hawana sauti nzito ? Kwanini warangi wote sauti zao nyembamba

Tafiti yako kama ina kaukweli ndani yake...nimeishi na warangi wengi sana kule Haubi, Aneti, Uru na pale Kondoa mjini wengi sijawahi kusikia sauti ya kukoroma labda kwa wageni tu
Nadhani rafudhi ya lunga yao inachangia sana maana huwa wanaongea kama wanalalamika hivi kumbe ndo wanawasiliana kawaida tu.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sijawahi kumuona mrangi mwenye sauti nzito au base

Wote wanaume na wanawake sauti zao nyembamba na nyororo


Hivi ni sababu zipi zinazowafanya jamii hii wawe na sauti nyembamba ,hakuna mrangi mwenye sauti nziti utafiti huu ni zaidi ya prof Mruma na ya Osoro.


Ni kwanini ?
Kwasababu wanapenda kula mayai mabichi kama nyoka.
 
Warangi wazr sana hasa ke, pia mama huruma wanatoa tu mzgo bila hata kubania! Wamebarkiwa na vingi!
 
Warangi wazr sana hasa ke, pia mama huruma wanatoa tu mzgo bila hata kubania! Wamebarkiwa na vingi!
 
Utafiti hauna majibu! Utafiti ufanane na wa makinikia
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sijawahi kumuona mrangi mwenye sauti nzito au base

Wote wanaume na wanawake sauti zao nyembamba na nyororo


Hivi ni sababu zipi zinazowafanya jamii hii wawe na sauti nyembamba ,hakuna mrangi mwenye sauti nziti utafiti huu ni zaidi ya prof Mruma na ya Osoro.


Ni kwanini ?


Kwa sababu wanaendekeza sana ushoga na kula mizizi.
 
Back
Top Bottom