Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
😵🙄😳😱😀😛😎😕😡🙁😉🙂 Duh! Wewe kiboko, yaani umeshakutana na Warangi wote!..Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sijawahi kumuona mrangi mwenye sauti nzito au base
Wote wanaume na wanawake sauti zao nyembamba na nyororo
Hivi ni sababu zipi zinazowafanya jamii hii wawe na sauti nyembamba ,hakuna mrangi mwenye sauti nziti utafiti huu ni zaidi ya prof Mruma na ya Osoro.
Ni kwanini ?