Kwanini wasanii wa bongo ni masikini sana wasio na usafiri wala nyumba

Kwanini wasanii wa bongo ni masikini sana wasio na usafiri wala nyumba

Mayala B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
2,109
Reaction score
5,284
Aman itamalaki

Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba

Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na vitega uchumi

Ukienda nigeria ndo usiseme

Cha kushangaza pia ukienda usukumani wasanii wake kama akina budagala, mwana itule, mwana jinasa na wengine wengj ni matajiri sana wanaomiliki mang'ombe, mashamba makubwa, wamejenga na wanamiliki wake zaidi ya watano watano na kuendelea pia wengine wana magari


Sasa kwanini wasanii wa bongo fleva ni masikin sana ambao hawana chochote hawana mademu, hawana nyumba wala magari wala vitega uchumi wanakaa kwenye magheto ya kupanga na kwa wajomba zao na kwa mashangazi zao

Shida nini aisee



Mayala B
 
Unamzungumzia yule msukuma wa magogoni ama?
 
Taswira ndani ya Mboni wasanii kumiliki magari nyumba za kulala hatuzioni,eti mdosi ananiambia tangu nigonge copy 100 hajauza hata 10.
 
Kuna makala moja nilisoma kuhusu wacheza mieleka(wwe),kuwa huwa wanafundishwa namna ya kuwekeza fedha zao kwenye mambo ya msingi na namna ya kuzimeneji fedha zao.Wasanii wanapata fedha ila hawajui wazifanyie nini ili wawe na vitu endelevu;zaidi watatumia fedha nyingi kwenye pombe,magari ya garama kubwa yasiyo na tija, na kubadilishabadilisha watoto (ke).
 
Mdosi ni mwizi,yaani copy 100 hajauza hata 10?
Taswira ndani ya Mboni wasanii kumiliki magari nyumba za kulala hatuzioni,eti mdosi ananiambia tangu nigonge copy 100 hajauza hata 10.
 
Shida kubwa wanang'ang'ania tu kupata pesa kupitia show mwisho wa siku wadau wanawanyonya balaa msanii unakuta ana jina lakini hafikirii ata kuprint tshirt au stika zakubandika kweny vyombo vya usafiri
 
Back
Top Bottom