Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,109
- 5,284
Aman itamalaki
Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba
Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na vitega uchumi
Ukienda nigeria ndo usiseme
Cha kushangaza pia ukienda usukumani wasanii wake kama akina budagala, mwana itule, mwana jinasa na wengine wengj ni matajiri sana wanaomiliki mang'ombe, mashamba makubwa, wamejenga na wanamiliki wake zaidi ya watano watano na kuendelea pia wengine wana magari
Sasa kwanini wasanii wa bongo fleva ni masikin sana ambao hawana chochote hawana mademu, hawana nyumba wala magari wala vitega uchumi wanakaa kwenye magheto ya kupanga na kwa wajomba zao na kwa mashangazi zao
Shida nini aisee
Mayala B
Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba
Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na vitega uchumi
Ukienda nigeria ndo usiseme
Cha kushangaza pia ukienda usukumani wasanii wake kama akina budagala, mwana itule, mwana jinasa na wengine wengj ni matajiri sana wanaomiliki mang'ombe, mashamba makubwa, wamejenga na wanamiliki wake zaidi ya watano watano na kuendelea pia wengine wana magari
Sasa kwanini wasanii wa bongo fleva ni masikin sana ambao hawana chochote hawana mademu, hawana nyumba wala magari wala vitega uchumi wanakaa kwenye magheto ya kupanga na kwa wajomba zao na kwa mashangazi zao
Shida nini aisee
Mayala B