Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mbona kwenye social network wote mnajifanya mnaishi KempiskWasanii tunapitia mengi sana msiyo yajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kwenye social network wote mnajifanya mnaishi KempiskWasanii tunapitia mengi sana msiyo yajua
ArtisansKati ya hayo majina mawili hawa wakwetu tuwaite lipi
usanii kitu kimoja, umaarufu kitu kingine, kipaji kitu kingine, akili kitu kingine, bahati ya kuoendwa na watu wawe tayari kununua tiketi zako ni ishu ingineAman itamalaki
Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba
Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na vitega uchumi
Ukienda nigeria ndo usiseme
Cha kushangaza pia ukienda usukumani wasanii wake kama akina budagala, mwana itule, mwana jinasa na wengine wengj ni matajiri sana wanaomiliki mang'ombe, mashamba makubwa, wamejenga na wanamiliki wake zaidi ya watano watano na kuendelea pia wengine wana magari
Sasa kwanini wasanii wa bongo fleva ni masikin sana ambao hawana chochote hawana mademu, hawana nyumba wala magari wala vitega uchumi wanakaa kwenye magheto ya kupanga na kwa wajomba zao na kwa mashangazi zao
Shida nini aisee
Mayala B
Hawa jamaa wanaishi fake life sana,ni utumwa kujifanya una maisha fulani wakati ni hohe hahe wazazi wako huku wanakosa hata sabuni ya kipandeShangaa sasa mkuu
Wanapenda sifa za kijinga Sana. Na huwa hawajiongezi.Yataje mkuu japo mawili na ni kwanini iwe kwenu tu wasanii wa bongo
Mbona mitandaoni tunawaona wakiwa matajiri tu?
Siyo una mke tu bali sema una Bonge la asetiHata mimi Sina kitu Nina mke tu