Kwanini wasanii wa kike hawaolewi na hata wakiolewa hawadumu ndani ya ndoa?


Umeongea kitu cha maana sana.Ngoja ninyamaze nisijepigwa 'mawe' mie!
 
Umeongea kitu cha maana sana.Ngoja ninyamaze nisijepigwa 'mawe' mie!
Kweli pisha mbali, hakawii...kuwekea ngeu ya jiwe usoni huyo...mimi nimeishapopolewa, bahati nzuri nipo kwenye nyumba ya pango la mawe yaliyowashinda wapasua mawe..
 
huyu nn ni mtata kama nini .... Yeye hoja zake ni ngumi mkononi , ustaarabu kwake ni nadra sana ....hiyo hongera kaitoa kwa kejeli kwa nina uhakika hajui kama wewe( lukelo sakafu ) ni mwanaume ama mwanamke. Hivyo hakutakiwa kutumia neno mumeo hapo.

kweli ila kajibu vile kwa sababu hii topic imemugusa penyewe ndo kamind
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…