Kwanini Wasanii wanaishi kama mazombi?

Kwanini Wasanii wanaishi kama mazombi?

Hii professional ni shida sana kwa nchi yetu walahi !
That’s all
 
Ni wasanii wachache sana and possible asilimia 5% ya wasanii wenye NPD. NPD inatokana na malezi ya mtu akiwa utotoni..

Katika age ya 3 year ndipo personality ya mtu huwa inatengenezwa.. so kama wazaz walikuwa arogant, kumtenga mtoto..kuto kumjali ktk hiyo age wanatengeneza PD kwa mtoto wao. Akiwa mkubwa ndipo anaanza kusaka vile vitu ambavyo alikusoa utotoni kutoka kwa wazazii...

Ndio maana watu wenye NPD wanakuwa na tabia za watoto wenye miaka mitano. Hii usababishwa na sehem moja ya ubongo wao kutokukua.

Unaowaona hao wasanii wengi hawana NPD... wengi ni "flying monkeys" ana wapambe wa watu wenye NPD.
NPDs huwa wana recruit flying monkeys ili wawatetee, wawashabikie, wafunike maov yao pale wanapokosea.. in short ni waumini wao.
Ndio maana unaona kama wanafanana.. flani hiv.

And NPD inatokea sanasana kwa wanaume.. BPD inatokea sana sana kwa wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni kwamba bongo sanaa hailipi kama inavyopaswa na hivyo wanaishia kuwa depressed. Inahitaji akili ya ziada kupata mafanikio bongo kwenye sanaa tofauti na wao wanadhani kiki tu inampa maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haya mazombi kiongozi wao ni yule wa kamati ya rambirambi anajijua
 
Hizo sifa za NPD mbona watu kibao humu jf tunazo!!? Tusiwaseme wasanii peke yao
Watu wa JF bana Mtu anakuambia akienda salon ananyoa kwa gharama ya Elfu 15,anasema ukinyoa salon za buku unaweza kupata Kansa ya Ngozi ya Kichwa,kumbe bwege flani tu qumermae walah,ukiiga maisha ya watu humu ndani unaweza kujiona we fukara wa kutupwa
 
Hili kundi linaishi maisha ya Kijinga sana nao eti wamejiaminisha kuwa ni kioo cha jamii!!
Hivi nani alileta huu usemi kwamba msanii ni kioo cha jamii? mana hata wacheza porno nao ni wasanii sijui tusemeje na hapa?
 
Watu wa JF bana Mtu anakuambia akienda salon ananyoa kwa gharama ya Elfu 15,anasema ukinyoa salon za buku unaweza kupata Kansa ya Ngozi ya Kichwa,kumbe bwege flani tu qumermae walah,ukiiga maisha ya watu humu ndani unaweza kujiona we fukara wa kutupwa
kuna uzi flani humu watu wanajuzana kuhusu viwango vya fedha ambazo wamewahi kuhonga... Aisee naomba nkiseme wazi kutokana na uzi ule ndipo nilipobaini sitakiwi kusema hadharani kuwa nimewahi kuhonga.... watu wa humu wanahonga mifedha ya maana ambayo ndo msingi wa maisha ya watanzania wengi wenye maisha ya kati
 
kuna uzi flani humu watu wanajuzana kuhusu viwango vya fedha ambazo wamewahi kuhonga... Aisee naomba nkiseme wazi kutokana na uzi ule ndipo nilipobaini sitakiwi kusema hadharani kuwa nimewahi kuhonga.... watu wa humu wanahonga mifedha ya maana ambayo ndo msingi wa maisha ya watanzania wengi wenye maisha ya kati
Hii ndo JF mkuu
 
Back
Top Bottom