ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
HahahahaNi choo cha jamii kwa baadhi yao wenye tabia mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaNi choo cha jamii kwa baadhi yao wenye tabia mbaya
Nimekuelewa mkuuNi wasanii wachache sana and possible asilimia 5% ya wasanii wenye NPD. NPD inatokana na malezi ya mtu akiwa utotoni..
Katika age ya 3 year ndipo personality ya mtu huwa inatengenezwa.. so kama wazaz walikuwa arogant, kumtenga mtoto..kuto kumjali ktk hiyo age wanatengeneza PD kwa mtoto wao. Akiwa mkubwa ndipo anaanza kusaka vile vitu ambavyo alikusoa utotoni kutoka kwa wazazii...
Ndio maana watu wenye NPD wanakuwa na tabia za watoto wenye miaka mitano. Hii usababishwa na sehem moja ya ubongo wao kutokukua.
Unaowaona hao wasanii wengi hawana NPD... wengi ni "flying monkeys" ana wapambe wa watu wenye NPD.
NPDs huwa wana recruit flying monkeys ili wawatetee, wawashabikie, wafunike maov yao pale wanapokosea.. in short ni waumini wao.
Ndio maana unaona kama wanafanana.. flani hiv.
And NPD inatokea sanasana kwa wanaume.. BPD inatokea sana sana kwa wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, waache kuishi kama mazombi, wanapaswa kuishi kama mashetani! huo ndio utaratibu tuliojiwekea.
Hao wauzaji papa ni makada wenzio wa kijaniHii professional ni shida sana kwa nchi yetu walahi !
That’s all
Watu wa JF bana Mtu anakuambia akienda salon ananyoa kwa gharama ya Elfu 15,anasema ukinyoa salon za buku unaweza kupata Kansa ya Ngozi ya Kichwa,kumbe bwege flani tu qumermae walah,ukiiga maisha ya watu humu ndani unaweza kujiona we fukara wa kutupwaHizo sifa za NPD mbona watu kibao humu jf tunazo!!? Tusiwaseme wasanii peke yao
Hivi nani alileta huu usemi kwamba msanii ni kioo cha jamii? mana hata wacheza porno nao ni wasanii sijui tusemeje na hapa?Hili kundi linaishi maisha ya Kijinga sana nao eti wamejiaminisha kuwa ni kioo cha jamii!!
kweli mkuu....Hizo sifa za NPD mbona watu kibao humu jf tunazo!!? Tusiwaseme wasanii peke yao
kuna uzi flani humu watu wanajuzana kuhusu viwango vya fedha ambazo wamewahi kuhonga... Aisee naomba nkiseme wazi kutokana na uzi ule ndipo nilipobaini sitakiwi kusema hadharani kuwa nimewahi kuhonga.... watu wa humu wanahonga mifedha ya maana ambayo ndo msingi wa maisha ya watanzania wengi wenye maisha ya katiWatu wa JF bana Mtu anakuambia akienda salon ananyoa kwa gharama ya Elfu 15,anasema ukinyoa salon za buku unaweza kupata Kansa ya Ngozi ya Kichwa,kumbe bwege flani tu qumermae walah,ukiiga maisha ya watu humu ndani unaweza kujiona we fukara wa kutupwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja wajeHata wanasiasa pia.
Hii ndo JF mkuukuna uzi flani humu watu wanajuzana kuhusu viwango vya fedha ambazo wamewahi kuhonga... Aisee naomba nkiseme wazi kutokana na uzi ule ndipo nilipobaini sitakiwi kusema hadharani kuwa nimewahi kuhonga.... watu wa humu wanahonga mifedha ya maana ambayo ndo msingi wa maisha ya watanzania wengi wenye maisha ya kati