Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Ukiachana na kina jaydee, ray c , saida karoli, mama stara thomas na pengine kwa mbali kina rosa ree, sister p na zay b ni wasanii wengi sana wa kike wakivuma kwa hit song moja ndio wanapotea mazima na sababu haijajulikana ni kwanini.
mifano
1. Dataz-mme wa mtu
2.Hot Galz - Raha ya Tunda (ft Dully syles)
3.Farida -Oooh pesa
4.nakaya - Mr politician
5. Rah P - Hayakuhusu
6.unique sistaz
7.enika - baridi kama hii
8.kadja - maumivu niache
9.Hafsa - Presha (ft banana zoro)
10.Pauline zongo
mifano
1. Dataz-mme wa mtu
2.Hot Galz - Raha ya Tunda (ft Dully syles)
3.Farida -Oooh pesa
4.nakaya - Mr politician
5. Rah P - Hayakuhusu
6.unique sistaz
7.enika - baridi kama hii
8.kadja - maumivu niache
9.Hafsa - Presha (ft banana zoro)
10.Pauline zongo