Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Haha hahah nisamehe Mkuu lkn hata yeye alisandaTafadhali kuwa na adabu, usimuweke Saida Karoli na hivyo vitoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hahah nisamehe Mkuu lkn hata yeye alisandaTafadhali kuwa na adabu, usimuweke Saida Karoli na hivyo vitoto
Mwenye picha ya Dataz atuie plzzz
huu wimbo ulikua wimbo wa taifa mawingu fm8.kadja - maumivu niache
hii tunaita tit for tatMkuu vua chupi kaa pembeni kama huna cha kuchangia
[emoji23][emoji23] sasa avue chupi kisha akae pembeni tena...Mkuu vua chupi kaa pembeni kama huna cha kuchangia
Anaishi Nairobi na Bongo anakuja sana tu ila hafanyi tena show off maana atafukua makaburiNAKAAYA
Ile interview bila kibanio ilitafuna saikolojia yake mpaka leo simsikii tena.
Usanii kazi ngumu sana.
Recho pia nilikuwa namkubali sanaUkiachana na kina jaydee, ray c , saida karoli, mama stara thomas na pengine kwa mbali kina rosa ree, sister p na zay b ni wasanii wengi sana wa kike wakivuma kwa hit song moja ndio wanapotea mazima na sababu haijajulikana ni kwanini.
mifano
1. Dataz-mme wa mtu
2.Hot Galz - Raha ya Tunda (ft Dully syles)
3.Farida -Oooh pesa
4.nakaya - Mr politician
5. Rah P - Hayakuhusu
6.unique sistaz
7.enika - baridi kama hii
8.kadja - maumivu niache
9.Hafsa - Presha (ft banana zoro)
10.Pauline zongo
Yupo THT anajipika sema anatumika ni balaaa anajaribu kuirudisha brand yake kwa nguvu ila jina hilo huwa kama lina kamkosiRecho pia nilikuwa namkubali sana
Unafurahia uzalilishaji!?Viva JF![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana,nafurahia maandishiUnafurahia uzalilishaji!?
Huyu anaimba gospel now na khadjanito nayeHafsa kazinja~Presha
Game bahati mbaya... Kwenye msafara wa mamba kenge pia wamoUkiachana na kina jaydee, ray c , saida karoli, mama stara thomas na pengine kwa mbali kina rosa ree, sister p na zay b ni wasanii wengi sana wa kike wakivuma kwa hit song moja ndio wanapotea mazima na sababu haijajulikana ni kwanini.
mifano
1. Dataz-mme wa mtu
2.Hot Galz - Raha ya Tunda (ft Dully syles)
3.Farida -Oooh pesa
4.nakaya - Mr politician
5. Rah P - Hayakuhusu
6.unique sistaz
7.enika - baridi kama hii
8.kadja - maumivu niache
9.Hafsa - Presha (ft banana zoro)
10.Pauline zongo
Sawa mkuu.Hapana,nafurahia maandishi
Acha kutishia ndume .wengine Chupi hawajawahi kuvaa , rungu iko chini ya goti chupi ya nini akikunja suruali unakutana nao ushakuwa 5G. Kesi hiyo hatuji utajua mwenyeweMkuu vua chupi kaa pembeni kama huna cha kuchangia