Kwanini wasichana mabonge wananuka sana


Enyi Wanawake nifahamisheni ,unene na wembamba ndiyo unaoleta tofauti ya usichana na uanamke?
 
Usidharirishe dada zetu vibonge mbona hata vimbaumbau navo vinanuka nihatari huo ni uchafu wa mtu asee
 
Acha kudharirisha dada zako wanene in general kwa sifa ka hiyo,, kwanza sio kweli! Uchafu ni asili ya mtu mwenyewe tu binafsi, so hai relate na umbo lake....
 
Mie nishawagegeda kama wawili hivi mabonge haswa ila to be honest walikuwa wasafi sana kuliko hata skinny galz nilowahi kuwa nao pia, mkuu labda utuambie kwanza unaishi wapi
 
Ukiona ananuka ujue hajui kujisafisha vizur na suala hilo haijalishi MTU mnene au mwembamba
 
kuna ka ukweli hapo
 
Acha uongo we ndugu. Badili chaguzi zako maana una nyota ya uozo
 
Acha uongo we ndugu. Badili chaguzi zako maana una nyota ya uozo
Huyo kibamia kashindwa kumpleka kibo bonge, atakuwa kutukanwa huko kaja kumalizia hapa hasira..!
 
Mwenye kujua hili jambo nimekuwa na uhusiano na wasichana wenye miili mikubwa na mara nyingi wanakuwa wanatoa harufu mbaya ....mwenye kujua kwanini wanawake hao hutoa harufu mbaya..?
nami nipate maelezo, me pia huwaza hvo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…