Kwanini wasimtumie kuitukana M-Bet kama alivyomtukana Mo Dewji?

Kwanini wasimtumie kuitukana M-Bet kama alivyomtukana Mo Dewji?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Inashangaza sana hadi sasa upande ule hawajaona potential ya mropokaji, weka mzigo wa uhakika mezani mpe kazi hiyo ya kuwashambulia M - Bet.

Yule haogopi Rais wa TFF wala waziri wa serikali, akiomba radhi anawakebehi huku akisema kama nimekosea nisameheni.

Mo Dewji alitukanwa na akaufyata, pandeni dau awawsambue M bet kuanzia ofisi yao, logo yao, magari yao, jinsi wanavyovaaa nk , week tu anaiua brand yao.
 
.
1659357685127.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza sana hadi sasa upande ule hawajaona potential ya mropokaji, weka mzigo wa uhakika mezani mpe kazi hiyo ya kuwashambulia M - Bet.

Yule haogopi Rais wa TFF wala waziri wa serikali, akiomba radhi anawakebehi huku akisema kama nimekosea nisameheni.

Mo Dewji alitukanwa na akaufyata, pandeni dau awawsambue M bet kuanzia ofisi yao, logo yao, magari yao, jinsi wanavyovaaa nk , week tu anaiua brand yao.
Akili za mashabiki wa Yanga ni kama alivyosema Kiropo wao
 
M-bet wanatisha Sana, nadhani yanga waliona kuwa wamefanikiwa kupita timu yoyote kwa udhamini wa bilioni 12, lakini huu udhamini wa m-bet kwa Simba umekuwa mwiba mkali kwao( hata viongozi wao(yanga) hawajui waseme nini ili waeleweke).
 
Haji hakutumwa kumtukana mo Bali alifanya vile kwa hasira zake binafsi kwa kuwa alimwagwa kufanya kazi na club anayoipenda kwa dhati. Siku yaja haji atamuomba radhi moo hata akiwa kaburini
Kwahiyo GSM nao wajiandae siku wakimumwaga anawageuzia kibao.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hujamsikia akiomba radhi kwa dharau kwa Waziri wa michezo? Hayo nayo ni machungu ya Simba kuboronga au ni tatizo la mdomo mchafu wa Manara?
Ndiyo ameomba radhi kwa ujinga wake ila ujinga zaidi nikumshushia hasira za kufeli msimu huu.
 
Machungu ya kuboronga msimu huu mnamuhamishia ma

Ndiyo ameomba radhi kwa ujinga wake ila ujinga zaidi nikumshushia hasira za kufeli msimu huu.
oyaaa kama uko karibu na tarimba muambie ampe deal hilo zeruzeru, week tu anaiua brand ya m-bet jamaa bingwa la matusi lile kuna watu walilipangishia masaki na kulipa vx kwa ajili ya kumtukana mo dewji tu
 
oyaaa kama uko karibu na tarimba muambie ampe deal hilo zeruzeru, week tu anaiua brand ya m-bet jamaa bingwa la matusi lile kuna watu walilipangishia masaki na kulipa vx kwa ajili ya kumtukana mo dewji tu
Mawazao ya kitoto mnoo haya
 
Back
Top Bottom