Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
hivi wazinzi wakoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna ubaya gani mwanamke akikuomba muoane badala ya kuendelea kufanya zinaa? Hao wawili wa mwanzo mbona hamkwenda kupima kama hizo mimba zilikuwepo ama la? Kama ukiambiwa mimba tu unammwaga kuna uwezekano mkubwa tu akaitoa mimba hiyo!
Inaelekea unapenda 'kutembea peku' hivyo hao kina dada pengine wanakupima tu ili wajue kama upo tayari kwa matokeo ya unachokifanya!
Hata kama mmepima HIV, nisingekushauri kutembea peku na mtu ambaye hamna commitment yoyote baina yenu. Itakusaidia kuondokana na magonjwa mengine ya zinaa (gono, kisonono nk), mimba usizotarajia, mimba za kusingiziwa nk nk.
Be blessed!
si kweli pretty wao ndo matapeli
jamani sinahakika kama limejadiliwa hapa.
Ni hivi mwaka jana nilibaatika kuwa na wanawake 3 kwa nyakati tofauti nilipoanzana na wakwanza baada ya miezi 6 akaanza kuniambia anahisi nimjamzito akaanza kueckti kila kitu kama anaujauzito kadri cku zilivyokwenda sioni dalili zaidi ya kuhimizwa nimwoe kila kukicha, nikamtema nikapata mwingine naye mda si mrefu naye akaanza ishu hiyo hiyo yani tofauti ni kiduchu tu naye akaanza story nimwoe kwa kasi nimpe majina matatu akaandike cliniki nikasepa watatu the same yy alikuwa ni mhuni nilipomtema akaanza fujo mwisho wa yote akasema lazima unioe kwani ninaujauzito wako nikambana tukapime akasepa ikawa salama yangu.
swali je cku hizi mimba ndokigezo cha kuolewa?
pls firstlady naitaji mchango wako
jamani sinahakika kama limejadiliwa hapa.
Ni hivi mwaka jana nilibaatika kuwa na wanawake 3 kwa nyakati tofauti nilipoanzana na wakwanza baada ya miezi 6 akaanza kuniambia anahisi nimjamzito akaanza kueckti kila kitu kama anaujauzito kadri cku zilivyokwenda sioni dalili zaidi ya kuhimizwa nimwoe kila kukicha, nikamtema nikapata mwingine naye mda si mrefu naye akaanza ishu hiyo hiyo yani tofauti ni kiduchu tu naye akaanza story nimwoe kwa kasi nimpe majina matatu akaandike cliniki nikasepa watatu the same yy alikuwa ni mhuni nilipomtema akaanza fujo mwisho wa yote akasema lazima unioe kwani ninaujauzito wako nikambana tukapime akasepa ikawa salama yangu.
swali je cku hizi mimba ndokigezo cha kuolewa?
pls firstlady naitaji mchango wako
mkuu kavu kavu ni baada ya kupima
Drphone, hesabu ya vipimo kwa mademu 3 ndani ya mwaka ina mushkeli! kama mmoja umekaa naye miezi 6, ikabaki miazi 6 kwa mwaka, theni unapima na kusikilizia miezi 3 unapima tena kama safi kulia na kushoto ndo unavuta barabara. hadi hapo miezi 9 imekata unachukua mwingine naye anaingia kwenye mchakato wa miezi 3, tayari mwaka na hujapiga bado muanzi hadith ya mimba ambayo inahitaji japo wiki 2, kuleta mawingi ya mvua yake.
mkokotoo huu unachukulia kwamba, mahusiano haya yamekuya ya mfululizo- yaani, umepigachini demu tar 30 juni, ukabena wa pili tar 1 julai- kitu ambacho si rahisi kuuunganisha mademu wa3 kwa staili hii.
Anyway, labda unatumia staili ya Bro Zuma, ukipiga lavu, unawahi protex kuua vijimelea.
VITA YA DHID YA VVU, INAONEKANA BAYANA KUWA NGUMU
Niliambiwa kuna window period.....miezi mitatu bila shaka.Kwa mwaka umepima na wanawake watatu tofauti(in series) mzee,kuna usalama hapo kweli?Au umetumia kipimo gani chenye uhakika kiasi hicho?.....Halafu kama hauko tayari kuoa na/au kupata mtoto kwanini una-do kavukavu?
Mwaka ndio unaanza...azimia na ubadilike.
wanawake wote watatu hawawezi kuwa na tabia moja ya utapeli lazima wewe ndio una tatizo sio mkweli kwao
Wewe mwenyewe ni sehemu ya tatizo, kwa hiyo wewe u TATIZO. Ni watu wa aina yako, wenye matatizo kama ulivyo tatizo ndiyo wanaosababisha kuongezeka kwa tatizo na ndipo wasichana wanabuni mbinu kujiokoa na tatizo la kuachwa kwenye mataa na watu wenye matatizo kama wewe!