nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,814
- 4,781
elewa kitu moja.....maisha ni vita...mbinu ya kupambana ni wewe mwenyewe ujipange..kile kipindi cha NMC mikate ya SIHA.......nilikuwa nachukua mikate na baisketi pale tazara now AZAM milling......naenda kuuzia mwenge na lugalo.......kuna wachu walinicheka sana that time....kwa sasa nawachungulia kwa side mirror.....hawaamini kama ni mimi....so blaza piga bodaboda mpaka pumbu zisogee....weka malengo....hao vilaza kaa nao kimahesabu.....