Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Labda Nikuulize Mtu aliyekimbia kutoka Tanzania bila hati ya kusafiria Anakuambia alikimbia nini hapa Tanzania?
Nimebahatika kutembea kidogo
Let me tell you
Wenzetu wengi kwenye nchi zao ukitoa watalii Wanakimbia shida, Wachache wanaotafuta fursa.
Mtoa mada nikupe tu mfano hapo Kenya.
Kenya ukifanya mchezo unakufa Hata kula huli na hakuna mtu anakuonea huruma Na ni Raia wa pale. Kitu ambacho Tanzania hakipo
Nenda Canada Wakenya wamejaa huko wamekuwa chokoraa Barabarani lakini Hawataki kurudi nyumbani
Hadi Ndugu Wakenya walioko kule wanajichanga kuwanunulia mabranket na chakula ughaibuni
Si Bora ukae kwenu kama huna sababu ya kusafiri
Tanzania ni pazuri sana Laiti Serikali ingetengenezea fursa vijana wapambane
Kuliko kulifanya Taifa ni la watu flani tangu uhuru.
Nimebahatika kutembea kidogo
Let me tell you
Wenzetu wengi kwenye nchi zao ukitoa watalii Wanakimbia shida, Wachache wanaotafuta fursa.
Mtoa mada nikupe tu mfano hapo Kenya.
Kenya ukifanya mchezo unakufa Hata kula huli na hakuna mtu anakuonea huruma Na ni Raia wa pale. Kitu ambacho Tanzania hakipo
Nenda Canada Wakenya wamejaa huko wamekuwa chokoraa Barabarani lakini Hawataki kurudi nyumbani
Hadi Ndugu Wakenya walioko kule wanajichanga kuwanunulia mabranket na chakula ughaibuni
Si Bora ukae kwenu kama huna sababu ya kusafiri
Tanzania ni pazuri sana Laiti Serikali ingetengenezea fursa vijana wapambane
Kuliko kulifanya Taifa ni la watu flani tangu uhuru.