Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

Labda Nikuulize Mtu aliyekimbia kutoka Tanzania bila hati ya kusafiria Anakuambia alikimbia nini hapa Tanzania?
Nimebahatika kutembea kidogo
Let me tell you
Wenzetu wengi kwenye nchi zao ukitoa watalii Wanakimbia shida, Wachache wanaotafuta fursa.
Mtoa mada nikupe tu mfano hapo Kenya.
Kenya ukifanya mchezo unakufa Hata kula huli na hakuna mtu anakuonea huruma Na ni Raia wa pale. Kitu ambacho Tanzania hakipo
Nenda Canada Wakenya wamejaa huko wamekuwa chokoraa Barabarani lakini Hawataki kurudi nyumbani
Hadi Ndugu Wakenya walioko kule wanajichanga kuwanunulia mabranket na chakula ughaibuni
Si Bora ukae kwenu kama huna sababu ya kusafiri
Tanzania ni pazuri sana Laiti Serikali ingetengenezea fursa vijana wapambane
Kuliko kulifanya Taifa ni la watu flani tangu uhuru.
 
Watakwambia mambo ya vacation/ holiday ni ya wazungu [emoji3][emoji28]

Wazungu mambo mengi hufanya for reasons.
 
Yani inaonekana ulikua kipanga sana wa kuandika Essay...hongera ssna
umemaliza kila kitu
100%
 
Namba 3 hasa ndo kipengele
 
Walikuwa na uraia wa Israeli?
 
Kwanza ukifanya simple survey kujua iwapo wabongo wanajua faida za kusafiri nina uhakika Kama wapo ni wachache sana 1 katika 100000.

Ndio maana wanakwambia hawawezi kusafiri bila sababu ya msingi [emoji3][emoji28]
Uko sahihi mkuu. Ndiyo maana wengine wanafikiri watu wanaopaswa kusafiri ni ambao nchi zao zina matatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…