jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
- Thread starter
-
- #21
Hili ni tatizo kubwa sana..nchi hii kila mtu mpigaji.Katika uwekaji wa cement ili kupata ratio sahihi, inabidi mafundi wasimamiwe kwa mtutu wa bunduki.
Kama jambazi kadhamiria kukuvamia hata ujengee kuta ya chuma ataingia tu.Panya Road,hizo hollow blocks hazifai
Ukitumia kama kuta ya nje inabidi kujua kuwa ukuta huo sio imara na ujiandae kwa matengezezo ya mara kwa mara....Lakini si kuna linta..pia mbona maeneo mengine yanatumia vzr tu kwa kuta za nje.
#MaendeleoHayanaChama
Upo sahihi hayo matofali yapo wazi katikati ili kufanya insulation na yapo ya aina nyingi ya hivyo, kuna mengine ya kuchoma lakini nayo yanakuwa na uwazi pia.Nahisi labda uhitaji wake kwa maeneo yetu, hatuhangaiki sana kuendesha joto ndani ya nyumba. Lipo wastani automatically nje na ndani sio tofauti ya kutisha, au simply we dont care.
Hiyo ni kama kweli yapo namna hiyo kwa ajili ya kucontrol joto[emoji2357]
Hizo ni concrete bricks, huwa zinatengenezwa kwa na zege lenye simenti ya kutosha, pamoja huo awazi kati lakini zinakuwa imara sana.Sina uzoefu nayo sana ila nadhani hayo yanahitaji cement nyingi ili yawe imara kutokana na kua na nafasi kwa kati kati sasa hizi karakana zetu za kuzalisha matofali kwa mwendo wao wa mfuko mmoja kwa tofali 40 siyatakua yanabomoka hata kwa kuyatikisa tu ?!
Asante kwa ku verifyUpo sahihi hayo matofali yapo wazi katikati ili kufanya insulation na yapo ya aina nyingi ya hivyo, kuna mengine ya kuchoma lakini nayo yanakuwa na uwazi pia.
Mimi nimeona yakitumika katika nchi yenye joto sana.
Sio hivyo hata namna ya ujenzi pia ni tofauti na kwetu, unakuta wanajenga kwa kuweka kuta mbili (double walling) na kuacha uwazi katikati, hivyo ukuta unakuwa mnene wenye uwazi kati, yote lengo ni hilohilo kufanya insulation ili kuzuia joto kuingia ndani kirahisi.
Uimara wa zege ni nondo... Je hizo zina nondo?Hizo ni concrete bricks, huwa zinatengenezwa kwa na zege lenye simenti ya kutosha, pamoja huo awazi kati lakini zinakuwa imara sana.
Kwenye huu uzi ni jirani yako huu ni ndugu yako tukueleweje?Ujenzi wa Interlocking Blocks
Habari wakuu, poleni kwa majukumu. Naomba ushauri wa kuhusu kujenga nyumba na matofali ya interlocking blocks. Wazo la nyumba: nyumba ya room mbili isiyokuwa sebule jiko na public toilet Naomba kupata kujua gharama ya hizi tofali na je ni kila fundi anaweza au kuna fundi maalumu?www.jamiiforums.com
Ndugu yangu aliyatumia haya katika ujenzi maeneo ya Lugalo, sasa hivi nyumba yote ina nyufa.
Muongo sana huyoUongo
Security considerations!! Ukijengea hizo tofali utakuwa unatembelewa na wezi mara kwa mara!!Panya Road,hizo hollow blocks hazifai
Humu kuna watu wente utaalamu tofaut tofaut sasa unaposema jambo usidhani watu hawana utaalam wa hilo jambo mkuuUnaifahamu hiyo nyumba?
Hizi nilimeziona sana monduli ni nyepesi sana ila ni ngumu hatari,Ukienda Njombe Kuna sehemu inaitwa Imiliwaha Kuna Convent kubwa sana ya masista wa kanisa Katoliki. Wamejenga kamji kao.. Wanatumia hizo Tofali miaka na miaka.
Nadhani ni suala la mazoea na uelewa. Mf. Arusha wanatengeneza Tofali sijui wanatumia moram au nini ila ni ngumu sana.. Hata Kenya wanatumia hizo kama Arusha. Na huwa hawapigi plasta nje.
Watajuaje km umejengea ivyoSecurity considerations!! Ukijengea hizo tofali utakuwa unatembelewa na wezi mara kwa mara!!
Niliyakuta Mafinga huko Iringa, mchina anayazalisha na kujengea kiwanda chake. Karibu nusu ya uzalishaji wake inapasuka kabla ya kutumika.Ndugu yangu aliyatumia haya katika ujenzi maeneo ya Lugalo, sasa hivi nyumba yote ina nyufa.
Unataka vibaka wapige ngumi watoboe ukutaKwanini Watz hatuyatumii wakati shida ni nini hasa?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha ratio yao ni moram, dust, mchanga kidogo na cement. Tofali yao heavy utaipenda. Japo wanaozalisha hizo hollow blocks pia sio wengi.Ukienda Njombe Kuna sehemu inaitwa Imiliwaha Kuna Convent kubwa sana ya masista wa kanisa Katoliki. Wamejenga kamji kao.. Wanatumia hizo Tofali miaka na miaka.
Nadhani ni suala la mazoea na uelewa. Mf. Arusha wanatengeneza Tofali sijui wanatumia moram au nini ila ni ngumu sana.. Hata Kenya wanatumia hizo kama Arusha. Na huwa hawapigi plasta nje.