jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wakuu habari.
Tumezoea kuona maeneo mengi nchini wakitumia aina mbalimbali za matofari katika shughuli nzima za ujenzi..kuanzia matofari ya tope yale ya kuchoma na pia matofari ya simenti au kwakizungu ni cement building blocks.
Katika haya matofari ya simenti tumezoa haya ambayo ni tofari ambalo linameungana lote.
Haya matofari yanakula sana mchanga na simenti pia yanahitaji maji mengi sana kuyamwagilia ili yaweze kua imara...kingine matofari haya ni mazito sana. Pamoja na sifa hizo bado yanaendelea kutumika maeneo mengi nchini.
Je, kwanini hatutumii matofari haya ambayo kwanza yatumia simenti na mchanga kidogo pia maji sio mengi yanayohitajika na pia yana uzito mdogo kurahisiha ubebaji na usafirishaji wake.
Je, ni kwasababu zipi zinachangia aina ya matofari haya yasitumike hapa nchini.
Picha nimeambatanisha[emoji116][emoji116][emoji116]
#MaendeleoHayanaChama
Tumezoea kuona maeneo mengi nchini wakitumia aina mbalimbali za matofari katika shughuli nzima za ujenzi..kuanzia matofari ya tope yale ya kuchoma na pia matofari ya simenti au kwakizungu ni cement building blocks.
Katika haya matofari ya simenti tumezoa haya ambayo ni tofari ambalo linameungana lote.
Haya matofari yanakula sana mchanga na simenti pia yanahitaji maji mengi sana kuyamwagilia ili yaweze kua imara...kingine matofari haya ni mazito sana. Pamoja na sifa hizo bado yanaendelea kutumika maeneo mengi nchini.
Je, kwanini hatutumii matofari haya ambayo kwanza yatumia simenti na mchanga kidogo pia maji sio mengi yanayohitajika na pia yana uzito mdogo kurahisiha ubebaji na usafirishaji wake.
Je, ni kwasababu zipi zinachangia aina ya matofari haya yasitumike hapa nchini.
Picha nimeambatanisha[emoji116][emoji116][emoji116]
#MaendeleoHayanaChama