Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Watanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihada za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine bila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe."
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?