Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni saikolojia ya umasikini. Ni kukosa maono ya kuweza kuona zaidi ya kilicho mbele ya macho yetu.Watanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihida za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine kila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe."
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?
Hata kwako, mtu una nunua kitanda cha futi sita kwa sita ulalie hauridhiki unaenda kuoa mradi hiko kitanda mlale watu wawili mradi Mbabane tuuu, umezidi watanzaniaWatanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihida za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine bila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe."
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?
Ujinga na kukosa ustaarabuWatanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihida za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine bila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe."
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?
Hahaaaaaaa...umenifanya nicheke tu...haya Bwana,hasa usiku ndo duuuuuHayo yote tisa, kumi uwe unasafiri na dada yako au mkeo.........heeeee, yataka moyo kuona kawaida 'kumbatio' analoweza kukutana nalo!!
Ujamaa umetutia ujinga flani ambao itachukua muda mrefu kuondoka.Watanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihida za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine bila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe."
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?
We are black people, we are black people, we are black people!Watanzania tuna utamaduni wa kubanana sana. Ukiingia kwenye daladala, hakuna mtu atakayefanya jitihada za kutobanana, utakuta abiria anamwegemea abiria mwingine bila kupata ridhaa mradi tu "sote tubababe."
Konda wa daladala anaweza kujaza abiria kuliko uwezo wa gari na kuwaacha wabanane na wala abiria hao hawawezi kulalamika.
Kwenye ujenzi wa makazi, utaona watu wanajenga mpaka kwenye mpaka wa kiwanja bila kuweka ile futi sita clearance kiasi kuwa mtu hawezi kupita katikakati ya viwanja viwili. Sababu yake ni nini?
Public transportation haina maana ya abiria kubanana. In fact basi au tren linaweza kuwa limejaa lakini abiria hawagusani.Labda ni wapi ambapo public transport watu hawabanani?
Kuhusu makazi, ukishaamua kujenga kwenye unplanned places kubali usumbufu, kama hutaki nenda sehemu zilizopangilia.
Kuna sehemu inaitwa Tegeta Skansika, ile sehemu walokuwa wanachimba kokoto, kule likitokea na kutokea zimamoto lisiende maana nyumba zimeshikana na barabara hakuna. Kila mtu anajenga anavyojua na tamisemi ipo
Nyie ndio mnaenda kwa watu bila taarifa na mkifika hamuondoki mpaka mle dinnerAcheni ubinafsi
🤣🤣🤣🤣Hahaaaaaaa...umenifanya nicheke tu...haya Bwana,hasa usiku ndo duuuuu