Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Tunawaza Wakenya wanavyojikomba kwa mabeberu balaa kila move ya maendeleo utegemee kenya kuharibu maana wakenya wanajua bila beberu hakuna mlo mezani.All Kenyans are so obsessed with Tanzanians,we all know that
Kaangalie mikutano ya Lowasa alipokua ukawa.
Tz huijui
hajapatikana wa kumtoa magufuli madarakani.hivyo jiandaeni kwa miaka 5 mingine ya kunyooshwa ukanda huu.
sisi hatuchagui kelele kama hapo kenya,tunaangalia kichwani kuna nini.
Wote ni watanzania wanayo haki ya kusikilizwa na kuchaguliwa na watanzania, usijaribu kutugawa, sisi tunataka maendeleo kama anayotufanyia Magufuli, usijenge picha kwamba hapa ndani wote ni CCM, sisi ni watanzania japo kila mtu anayo mapenzi kwa chama au mgombea wake.Tatizo kwa Lissu hamuwezi kutumia goli la mikono, atawasumbua sana, sio mwoga mwoga, amelishwa risasi 38 na bado anapeta, huo ujasiri dadadeki zake siuwezi, hapo hata ngosha anaingiwa na kauwoga fulani.
Sasa hapo kwa kichwani ndio mtakua mumeingia 18 zake, mumeogopa hata mdahalo naye, kila siku mnahangaika kujibu hoja zake hadi mumehema, kwanza naona kawatoa kamasi kwenye suala la machinga, hapo ndio mnaangukia pua mchana kweupe.
Dah! ila hata Wakenya tujiandae mkao wa ushindani mkali Lisu akichukua uongozi, kwa mara ya kwanza Tz itaongozwa na mtu kichwa, msomi, mjasiri na anayethubutu asiye mwoga mwoga, anaweza akaipaisha Tanzania hadi watufikie ndani ya muda mfupi, bora kidumu chama cha kijani.
Pona yetu Tanzania imejaa hawa hapa 66%
hivi rais wa nchi ana mda wa kipuuzi eti anakaa kubishana na mtu!!!!labda kenya ndio mna huu ujinga.miaka 5 hii mmeona jinsi tz inatakiwa kuwa miaka yote,subirini aapishwe kwa mara ya pili tuendelee kuwavuruga vuruga kama mchicha.
Huyo Lissu wenu sio msubiri tu ashinde huku hawezi kushinda,cha kufanya mchukueni mumpe uraia agombee mumpe nchi huko kwenu atawafaa sana.
Anaweza akawapa tabu sana kwenye mdahalo atawaumbua maana mumezoea kueleza bila kuhojiwa kauli zenu, yaani kwenye mdahalo unakalishwa kwenye kiti moto, unahojiwa ulivyoboronga kwenye korosho na kuacha wakulima wakiteseka, mindege umenunua isiyokua na tija, uchumi kwenye awamu ya tano ndio umekua kuliko awamu zote, madeni mumechukua kutoka kwa mabeberu kuliko awmu zote yaani kuna mengi mnaweza mkalishwa za uso, duh hata msithubutu, kaeni mbali na habari za mdahalo, nyie ongeeni huko kisukuma na kutegemea kete ya ukabila.
huo ni mtazamo wako,kama ana uwezo wa kuongea asingesumbuliwa na mtangazaji kwenye interview na shirika la uingereza.
kuna tofauti kubwa sana kati ya kuongea unayohisi ni sahihi ukiwa peke yako,yule hata pole pole hamuwezi.
Kwanza mumepoteana hadi huyo Pole Pole anaitisha press conference kila siku kujaribu kujibu hoja za lissu....hehehehe
Sasa hapo tunatumia asilimia moja tunawapelekesha tukiamua kutumia asilimia kumibsi mtapotea kabisa.
Ndio mikakati ya ccm hiyo kucheza na akili za wapinzani mazuzu.
Subiri ushindi wa 85% ndio utajua hujui.
Huku ni kukosa busara kwa hali ya juu Sana, hivi inakuaje mtu kutoka nchi jirani unaamua kuchukua upande na kushabikia upande mmoja wa siasa katika nchi nyengine?, lengo lako hasa ni lipi?.Labda kwa mabomu ambayo naona mumeanza kumpiga. Jamaa atawazingua sana, kwanza amekaidi agizo la kwenda mbele ya tume la maadili, sijui mtatumia kete gani nyingine.
Busara gani wakati nyie kwanza wewe ukiwa mmoja huwa unaiponda Kenya sana.Nashangaa unalia nini sasa.Kiongozi wenu ameonyesha mara kadhaa kuchukia Kenya na Wakenya.Yeye na wafuasi wake hapa(miccm) wameadhirisha hilo.Heri Kikwete lakini for now as a Kenyan am with Lissu 💯.Yeye hana chuki dhidi ya Kenya wala wakenyaHuku ni kukosa busara kwa hali ya juu Sana, hivi inakuaje mtu kutoka nchi jirani unaamua kuchukua upande na kushabikia upande mmoja wa siasa katika nchi nyengine?, lengo lako hasa ni lipi?.
Kwahiyo kama CCM au Magufuli ataona kwamba wakenya wanashabikia upanzani na akifanikiwa kurudi madarakani unataka awachukuliaje wakenya?. Tumia busara kidogo, huu ushabiki hapo ni kati ya Kenya na Tanzania, tatizo lenu kwa muda mrefu mumekua mkichukulia kwamba mtu yeyote mwenye kusifia utendaji wa serikali ya Tanzania huyo ni CCM.
Hii inaonyesha wazi jinsi Jubilee wanavyokichukia CCM na Magufuli. Tumia busara kutokujiingiza katika siasa za kishabiki za nchi jirani, hukatazwi kutoa ushauri, lakini sio kushabikia upande mmoja.
Unapaswa utulie na upunguze mihemko yako, hapa ni kati ya Kenya na Tanzania, sio kati ya Jubilee na CCM. Mkenya kuiponda Tanzania na mtanzania kuiponda Kenya hiyo ni sawa kabisa.Busara gani wakati nyie kwanza wewe ukiwa mmoja huwa unaiponda Kenya sana.Nashangaa unalia nini sasa.Kiongozi wenu ameonyesha mara kadhaa kuchukia Kenya na Wakenya.Yeye na wafuasi wake hapa(miccm) wameadhirisha hilo.Heri Kikwete lakini for now as a Kenyan am with Lissu [emoji817].Yeye hana chuki dhidi ya Kenya wala wakenya
Huku ni kukosa busara kwa hali ya juu Sana, hivi inakuaje mtu kutoka nchi jirani unaamua kuchukua upande na kushabikia upande mmoja wa siasa katika nchi nyengine?, lengo lako hasa ni lipi?.
Kwahiyo kama CCM au Magufuli ataona kwamba wakenya wanashabikia upanzani na akifanikiwa kurudi madarakani unataka awachukuliaje wakenya?. Tumia busara kidogo, huu ushabiki hapo ni kati ya Kenya na Tanzania, tatizo lenu kwa muda mrefu mumekua mkichukulia kwamba mtu yeyote mwenye kusifia utendaji wa serikali ya Tanzania huyo ni CCM.
Hii inaonyesha wazi jinsi Jubilee wanavyokichukia CCM na Magufuli. Tumia busara kutokujiingiza katika siasa za kishabiki za nchi jirani, hukatazwi kutoa ushauri, lakini sio kushabikia upande mmoja.
If hate is obsession ni sawaHuwa nashangaa pale ambapo nyuzi karibu zote za Kenya section zimeanzishwa na Watanzania ilhali nyuzi za mapenzi section au nyuzi zingine za Kitanzania zimeanzishwa na Watanzania wenyewe.
Hii inaashiria kwamba Kenya ni babu la Watanzania ndio maana hawawezi kuishi bila kuwaza Kenya na kuposti posti mambo ya Kenya. Unapata Mlazy amefanya research kuhusu Kenya na ametumia data bundles nyingi kutazama videos za Kenya kwenye youtube. Wanasoma magazeti za Kenya usiku na mchana.
Wanajua mambo mengi kuhusu Kenya hata kushinda wakenya wenyewe. Watanzania wanaoongoza kuwaza Kenya ni Geza Ulole na joto la jiwe.
Nini chanzo cha tabia hii?