Sasa hapo kwa kichwani ndio mtakua mumeingia 18 zake, mumeogopa hata mdahalo naye, kila siku mnahangaika kujibu hoja zake hadi mumehema, kwanza naona kawatoa kamasi kwenye suala la machinga, hapo ndio mnaangukia pua mchana kweupe.
Dah! ila hata Wakenya tujiandae mkao wa ushindani mkali Lisu akichukua uongozi, kwa mara ya kwanza Tz itaongozwa na mtu kichwa, msomi, mjasiri na anayethubutu asiye mwoga mwoga, anaweza akaipaisha Tanzania hadi watufikie ndani ya muda mfupi, bora kidumu chama cha kijani.
Pona yetu Tanzania imejaa hawa hapa 66%