Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Nimejaribu kufanya Utafiti mdogo tu mitandaoni nimeona Tanzania inaongoza kwa kulalamikiwa kuua biashara za majirani zetu wote.
Hivi ninyi watanzania mnaosifika wa uvivu na uzembe ni kwanini mnawaua biashara za watu hivi? 🤔
Cheap Tanzanian rice leaves 1,000 Busoga farmers stranded
Hivi ninyi watanzania mnaosifika wa uvivu na uzembe ni kwanini mnawaua biashara za watu hivi? 🤔
Cheap Tanzanian rice leaves 1,000 Busoga farmers stranded